Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,398
- 3,907
lidikteta la chadema li mr Konyagi jizi na lilamba asali na linywa konyqgiJamaa ametatizwa sana na ujio wa Lissu, ndio maana kila siku anamuanzishia uzi mpya.
lidikteta la chadema li mr Konyagi jizi na lilamba asali na linywa konyqgiJamaa ametatizwa sana na ujio wa Lissu, ndio maana kila siku anamuanzishia uzi mpya.
Mzee wa MIGAKwa watu waliopevuka akili na kufikia upeo kama wa Tundu Lisu ni aibu kuendelea kumponda marehemu
Hicho kitabu ni cha wakati ma kinaongelwa kipindi yesu hajazaliwaKwani ule ulikuwa mdahalo?
Hivi hili sijaelewa hasa linamakusudio gani! Yaani watu wanaji organize na kumtetea Marehemu kwa nguvu zote kama vile anashiriki uchaguzi au anahitaji kupata nafasi fulani ya uteuzi?Magufuli NI Mwamba na kila mtu atakiri hilo!!
Ulichoandika ni mtazamo na nilichoandika ni mtazamo wangu. Mwisho wa siku ukweli unajidhihirisha.Hivi hili sijaelewa hasa linamakusudio gani! Yaani watu wanaji organize na kumtetea Marehemu kwa nguvu zote kama vile anashiriki uchaguzi au anahitaji kupata nafasi fulani ya uteuzi?
Magufuli is gone akiwa wa hovyo na katili katika jamii ya wastaarabu. Kama kwako wewe binafsi alikuwa malaika mwema baki nayo moyoni msitukumbushe ushenzi aliotendea watu mkaacha watu wakaiangalia family yake kwa jicho la chuki maana wanakula neema ya kodi kwani sheria zetu zinaendelea kuwabeba
Hiki kitabu kinamtaja Yesu!!!Mku Biblia inasema mtu akisha kufa, hajui kitu chochote kinachoendelea hapa duniani mpaka hapo Yesu atakaporudi na kumfufua.
Soma kitabu cha Mhubiri 9:5-6
Huna akili wewe au ni mleviHakuna mzoga wenye nguvu. Huyo basha wako imebaki skeleton tu
Tunasubiri Antipasu akanushe!The way umeandika ni kama uko kichwani kwake. Speak for yourself acha kuwasemea watu
Ruto anaelekea kuzuia mikusanyiko ya kisiasa nchi Kenya!Mbona alimpond sana tena sana tu. Alisema mikutano ya siasa ilizuliwa na yule mungu wa chato. Au hukusikia
Ruto anaelekea kuzuia mikusanyiko ya kisiasa nchi Kenya!
Wewe shoga huna marindaHuna akili wewe au ni mlevi
Mimba ya Magufuli unajifungua liniWewe shoga huna marinda
Ruto anaelekea kuzuia mikusanyiko ya kisiasa nchi Kenya!
Ruto amesema mwenyewe lakini!Kwa Kenya na nchi yoyote iliyostaarabika, kamwe hilo haliwezi kutokea.
Ruto hataki ujingaRuto amesema mwenyewe lakini!
Lakini kiliwapa heshima mno kwa kufanya biashara popoteHao wananchi wa chini ndio Magufuli aliwadanganya kile kitambulisho cha Tsh 20000/- unaweza kuombea mkopo .
Kitambulisho kisichokuwa na jina , picha wala taarifa zingine muhimu ndio wanadanganywa mchana kweupe nao wanaitikia ndio na jinsii hii hao wanyonge tafsiri yake halisi ni kundi la wajinga.
Ni Lissu ndio alikuja kuwaelemisha hawa wajinga na kuwaelezea uhalisia kuwa wanadanganywa.
Matokeo yake ni kuwa Magufuli alikuwa akifanya kampeni siku chache anapumzika siku nyingi huku Lissu akifungiwa kwamba katoa maneno ya kashfa.