Kulwa Jilala
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 3,510
- 7,755
Baada ya Chadema kufanya mikutano hafifu sana na iliyokosa watu kanda ya ziwa (Mwanza na Mara), Tundu Lissu akapata meseji kichwani mwake kwamba nguvu ya Hayati Magufuli siyo ya kawaida kwenye jamii hasa kwa wananchi wa maisha ya chini kabisa na kwamba kuendelea kumponda Magufuli ni kujichimbia kaburi lako mwenyewe.
Tundu Lissu kwa mara ya kwanza amehutubia mkutano kwa zaidi ya masaa mawili bila kumponda Hayati Magufuli!
Watu wanajiuliza kulikoni?
Tundu Lissu kwa mara ya kwanza amehutubia mkutano kwa zaidi ya masaa mawili bila kumponda Hayati Magufuli!
Watu wanajiuliza kulikoni?