Tundu Lissu akitoa heshima kwenye kaburi la marehemu mzee Ndesamburo

Hajaenda kwenye kaburi la Nyerere ambaye alidiriki kumtusi mpaka muasisi wa chama mzee mtei akaingilia kati??
 
Mkuu ungekuwepo eneo la tukio ndipo ungewajua Chadema. Kumbuka waliokimbia ni wao tena wakaenda kujificha nyuma ya mapolisi wenye silaha. Tuliwakimbiza mbaya
Mlipo wakimbiza mkapata nin au zoez la lissu alikuendelea au kaondolewa kuwania urais?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…