ilitakiwa atekwe mmoja wao halafu mkamlawiti hadi azimie!.Mkuu ungekuwepo eneo la tukio ndipo ungewajua Chadema. Kumbuka waliokimbia ni wao tena wakaenda kujificha nyuma ya mapolisi wenye silaha. Tuliwakimbiza mbaya
ilitakiwa atekwe mmoja wao halafu mkamlawiti hadi azimie!.Mkuu ungekuwepo eneo la tukio ndipo ungewajua Chadema. Kumbuka waliokimbia ni wao tena wakaenda kujificha nyuma ya mapolisi wenye silaha. Tuliwakimbiza mbaya
Nilikuwa najiuliza kwa nini anatumia gari fupi (Saloon car) kwenye safari ndefu hivyo? Nimejua sababu sasa, ile kitu pyu pyu hazipenyi
Jukumu la hawa jamaa ni kumlinda Lisu, ikiwepo kumkimbiza na kumtoa popote penye tatizo! Badala ya kuwaponda, tuwapongeza kwa kazi yao nzuri ya jana. Labda hujui tu kwamba wazee wa mboga mboga wanasaka kosa lolote la kiufundi kwa CHADEMA na Lisu!Hawana lolote hao, wanakimbizwa kwa mawe tu na boya kama Sabaya.!