Libya
JF-Expert Member
- Nov 11, 2016
- 783
- 1,918
Binafsi nimeumia na kujisikia vibaya sana kitendo cha serikali wanachomfanyia Tundu lissu cha kusitisha malipo na mshahara wake.
Mh. Tundu lissu ameingia katika wakati mgumu sana na inasikitisha akiomba sehemu ya kula , kulala na ada kwa ajiri ya watoto wake!
Mungu ibarika Tanzania, mungu mbariki Tundu Lissu
Haya maisha tu! Leo kwake kesho kwako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mh. Tundu lissu ameingia katika wakati mgumu sana na inasikitisha akiomba sehemu ya kula , kulala na ada kwa ajiri ya watoto wake!
Mungu ibarika Tanzania, mungu mbariki Tundu Lissu
Haya maisha tu! Leo kwake kesho kwako.
Sent using Jamii Forums mobile app