sanshinda
Member
- Sep 25, 2017
- 79
- 33
Ni wa kati gani Rais wa nchi anakuwa sio Rais? Tatizo hapa sio ahadi, tatizo ni mtu anatukana wagombea wenzake tena kwa kuwataja kwa majina. Lissu kwenye jambo hili yupo guilty kabisa na ndio maana anajishuku. Mbona wenzake hawajapanic????
Yeye anadhani anaweza kuitisha Tume kwa kauli zake za vitisho lakini anajidanganya.
Yeye anadhani anaweza kuitisha Tume kwa kauli zake za vitisho lakini anajidanganya.