Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aijibu NEC kutishia baadhi ya wagombea "wanaohatarisha amani" kwenye kampeni zao

sasa Lisu anapotoka zaidi na pia anatudanganya,

1. wagombea walio enguliwa wameenguliwa kwa kasoro na dosari ktk ujazaji wa fomu zao sasa hapo tume unataka ifanyaje? iwajazie wagombea walio shindwa kujaza fomu zao kwa usahihi?! haiwezekani lazima sheria na taratibu zifuatwe....tusilazimishe mambo yasiyo wezekana.
tuiache tume ifanye kazi zake kwa mujibu wa sheria na sio kuishinikiza.

2. Kuishinikiza tume ifanye jambo kwa matakwa yako hilo lenyewe ni ukiukwaji wa maadili.....Lisu amesikika mara kadhaa akiishinikiza Tume ya uchaguzi kiasi cha kuipandia kichwani.....hayo sio maadili ya uchaguzi.......

3. kama Lisu hana imani na tume...awasilishe malalamiko yake yasikilizwe na sio kuchonganisha wananchi na Tume au kuchochea kuvuja amani...hili ni kinyume na maadili

Tumeshuhudia Tume kupitia mkurugenzi wake wakitoa maamuzi juu ya rufaa nyingi na wagombea wengi wamerudishwa kugombea.....hiyo tu ni dalili tosha kuwa Tume inafanya kazi zake kwa uadilifu na kwa kuzingatia sheria. sasa anacho kifanya Lisu ni kuishinikiza tume iogope na ifanye kazi kwa matakwa yake Lisu...si sawa.
 
sasa Lisu anapotoka zaidi na pia anatudanganya,

1. wagombea walio enguliwa wameenguliwa kwa kasoro na dosari ktk ujazaji wa fomu zao sasa hapo tume unataka ifanyaje? iwajazie wagombea walio shindwa kujaza fomu zao kwa usahihi?! haiwezekani lazima sheria na taratibu zifuatwe....tusilazimishe mambo yasiyo wezekana.
tuiache tume ifanye kazi zake kwa mujibu wa sheria na sio kuishinikiza.

2. Kuishinikiza tume ifanye jambo kwa matakwa yako hilo lenyewe ni ukiukwaji wa maadili.....Lisu amesikika mara kadhaa akiishinikiza Tume ya uchaguzi kiasi cha kuipandia kichwani.....hayo sio maadili ya uchaguzi.......

3. kama Lisu hana imani na tume...awasilishe malalamiko yake yasikilizwe na sio kuchonganisha wananchi na Tume au kuchochea kuvuja amani...hili ni kinyume na maadili

Tumeshuhudia Tume kupitia mkurugenzi wake wakitoa maamuzi juu ya rufaa nyingi na wagombea wengi wamerudishwa kugombea.....hiyo tu ni dalili tosha kuwa Tume inafanya kazi zake kwa uadilifu na kwa kuzingatia sheria. sasa anacho kifanya Lisu ni kuishinikiza tume iogope na ifanye kazi kwa matakwa yake Lisu...si sawa.
Bravooo Bravooooo Mzalendo!
Well said!!
 
Ni wa kati gani Rais wa nchi anakuwa sio Rais? Tatizo hapa sio ahadi, tatizo ni mtu anatukana wagombea wenzake tena kwa kuwataja kwa majina. Lissu kwenye jambo hili yupo guilty kabisa na ndio maana anajishuku. Mbona wenzake hawajapanic????

Yeye anadhani anaweza kuitisha Tume kwa kauli zake za vitisho lakini anajidanganya.
Kwahiyo kutaja ndege na uwanja wa chato ndio tusi

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Mpaka Sasa mwajua hamna chenu ndio maana mwaanza tembeza chili tu kwa Serikali na vyombo vyake lkn kunausemi usemwao "Dua la kuku alimpati mwewe" mtahangaika Sana lkn chamoto mtakiona tena asubuhi sana
Nyinyi ndio wenyechenu maana mushachukua chenu mapema tirioni 1.5 pamoja na uwanja wa chato

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Mkurugenzi alisisitiza umhimu wa kutunza amani kipindi hiki cha uchaguzi kuwa ni jukumu la wagombea wote sasa kuhamasisha kuvunja amani haiwezi kuwa ajenda ya chama chochote cha siasa na wananchi makini tukabariki tuilinde amani kwa nguvu zote maana hatuna nchi nyingine zaidi ya hii na amani ikipotea wazee, watoto, akinamama ndo watakao umia zaidi hivyo tusikubali kuvuruga amani kwa maslahi ya kikundi cha watu wachache wenye nia ovu
Amani bila ya haki hapo hapatoshi

Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
 
Ila bora ule ulichokinunua mwenyewe,kuliko matango poli.ila huu mwaka kampeni zimekuwa tofauti na walivyotuaminisha wtz duh+kamwene monogage
 
Nani akutake kenge jike wewe?
Utaengua mtu mwenye sifa?
Kwanza, Nyie si mliwaambia wagombea wenu wakosee mekusudi ili muaminishe uma kwamba mmeonewa?
Sasa Mnalalamika nini??

Halafu wakati wengine wanafundisha wagombea wao namna sahihi ya kujaza fomu nyie mlikuwa wapi?
Deo Mwanyika Ana sifa We ngumbaru?
 
Ndani ya CCM ya sasa hakuna anayeweza kuzijibu hoja za Lissu....ana upeo mkubwa mno wa kujenga hoja!!

CCM na Tume jipangeni upya.. kwa hoja hizi za Lissu tayari nyie ni watuhumiwa wa kula njama za kujaribu kuvuruga uchaguzi.
 
Back
Top Bottom