Uchaguzi 2020 Tundu Lissu aijibu NEC kutishia baadhi ya wagombea "wanaohatarisha amani" kwenye kampeni zao

Lissu ni chaguo letu sio yule wa kuleta wanafunzi na wasanii kuaminisha anapendwa

Ndio maana anakuwa mkali na kutufokea wananchi mara nina sura mbaya mara mtajuta,

Mbona lissu kajawa furaha na amani?

Ni kwasababu anapendwa na watu bila kutumia nguvu fake.

Ni yeyeView attachment 1571684View attachment 1571685View attachment 1571686
IMG-20200916-WA0027.jpg
IMG-20200916-WA0028.jpg
IMG-20200916-WA0027.jpg
IMG-20200916-WA0028.jpg
 
lissu ameshachoka
badala ya kujikita kwenye kampeni anawarukia tume,kwani wamemtaja?
hiyo ni kazi ya mnyika,yupo tu ofisini anaratibu michango ya Tigo pesa
 
Duh,mbona kawavua nguo NEC.aibu iliyoje kama ndo Tanzania viongozi wenye dhamana akili zipo hivi!.


Kumbe Lisu yupo sahihi,kitakachotokea basi atakae beba mzigo in TUME.

Jamani watu walishaelimika Ccm iache vimbwanga.huu mwaka wa Shetani aliyeruka kiunzi cha kifo.

Dah,aliyesema upinzan umekufa nadhani yeye ndo moyo umeshakufa.

Nipo bize na bongofreva kwenye siasa sipo.amen

Hata uchaguzi ukifanyika na Magufuli na genge lake la ccm wakafanikiwa kuchakachua matokeo, lakini atakuwa amejua kabisa hajafanikiwa kuua upinzani kama yeye binafsi na wapambe wake walivyojidanganya. Na amejua kabisa wanaomkubali ni wanaccm wenzake na watanzania kadhaa, lakini sio watanzania wote.
 
å Ni majibu ya kauli ya Mkurugenzi wa Uchaguzi wa NEC Dr Wilson Mahera Charles aliyoitoa jana alipokuwa anazungumza na vyombo vya habari.

å Kwamba, baadhi ya wagombea katika mikutano yao ya kampeni wanakiuka kanuni na maadili ya uchaguzi mkuu wa 2020.

å Na kwamba, tume inaweza kuwachukulia hatua za kinidhamu ikiwemo kuwazuia kuendelea na kamoeni zao.

å Tundu Lissu akiwa Mbozi leo tarehe 16/9/2020 akichanja mbuga kuendelea na mikutano yake ya kampeni, kabla ya kuwahutumia wananchi ajatumia dakika 12 kuijibu NEC juu ya kauli yake hii kupitia kwa mtendaji wake mkuu, Mkurugenzi wa Uchaguzi Dr Wilson Mahera Charles.

å Katika kujibu, Tundu Lissu akaikaripia vikali NEC kuwa ndiyo mkiukaji mkubwa wa KANUNI na MAADILI hayo ya Uchaguzi mkuu 2020.

å Akataja makosa matano (5) ya ukiukaji KANUNI na MAADILI yanayofanywa na mgombea Urais wa CCM ndg John Pombe Magufuli huku NEC wakiwa kimyaaa.

Tazama video hii

Huyu jamaa yenu anawalisha matango pori tu Tena ya kwasababu anapiga kelele tu mitandaoni badala ya kufuata utaratibu nimesoma kanuni za maadili ya Uchaguzi zinasema unatakiwa kutoa taarifa ya maandishi ktk sehemu husika ndani ya masaa 72 toka ukiukwaji wa maadili ulipofanyika.sasa kulalama tu Kama hayawani bila kutekereza hayo ni kazi bure.
 
Point yako nini labda?

Ebu punguza kunifokea bhasi.

Ngoja nikupe SHULE kama Lissu anavyowapa DARASA.

IPO HIVI....!

Wanafunzi wanaohudhuria mikutano ya CCM ni kwasababu wanapewa maagizo na vitisho, wanakuja kwa kutokupenda. SAWA?

ALAFU

Wanaokuja mikutano ya upinzani hawapewi MAAGIZO wanakuja kwa RIDHAA YAO. UMENIPATA?
Imeadikwa WAACHENI WATOTO WADOGO WAJE KWANGU.
 
Huyu jamaa yenu anawalisha matango pori tu Tena ya kwasababu anapiga kelele tu mitandaoni badala ya kufuata utaratibu nimesoma kanuni za maadili ya Uchaguzi zinasema unatakiwa kutoa taarifa ya maandishi ktk sehemu husika ndani ya masaa 72 toka ukiukwaji wa maadili ulipofanyika.sasa kulalama tu Kama hayawani bila kutekereza hayo ni kazi bure.

Unakanusha au unakubaliana na Tundu Lissu?

Nilivyokuelewa, ni wazi kuwa umekubaliana na Tundu Lissu kuwa asemacho ni kweli...

Na ni kweli kabisa kwa sababu wote tunaona kwa macho yetu, tumesikia kwa masikio yetu kwamba mgombea wa CCM na NEC yenyewe wanakiuka na kuvunja kanuni na maadili ya uchaguzi mkuu 2020 waziwazi na hatua hazichukuliwi..., au siyo bwana?

Unasema walalamike ndani ya masaa 72;

Hebu tuambie hawajakata rufaa kwa wagombea wao wa ubunge na udiwani walioenguliwa "kishenzi" na NEC?

Na alichokisema Dr Mahera Charles jana, alilalamikiwa na nani? Mgombea wa CCM?
 
38 Reactions
Reply
Back
Top Bottom