Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 16,872
- 41,951
Atengwe na aogopwe kama ukoma!
Hata yeye mwenyewe sidhani kama anategemea kuungwa na kundi lenu la mapunguani!!
Hapa JF naona msio na akili ya analysis, mliojaa unafiki, mpo kama 6 tu. Na mnajitambua.
Ni kitu cha kawaida katika jamii yoyote ile kuwepo watu walionyimwa akili na tafakari. Msidhani mpo pekee yenu. Tofauti yenu na wale wa mataifa mengine, ninyi mnajivunia na kuonea fahari upunguani wenu, wakati wenzenu wa nchi nyingine huusikitikia upunguani wao.