Dunia ipi wewe ulienda?MUULIZE DUNIANI KOTE KAZI KUU NNE ZA MIFUKO YA HIFADHI ZA JAMII NI. NINI? WASIPOWEKEZA HIZO PESA ZA KUWALIPA WAHUSIKA "WITH INTEREST" ZITATOKA WAPI?
Queen Esther
Be smart upstairs, acha kutetea hila na kuminya Haki za watu
Mtu unapomlipa 33% ya mshahara..na bado Hana bima ya afya., ataweza kuishi Hadi umri wa kustaafu ufike? Let's say amefukuzwa kazi akiwa na 36 years. Hiyo 33% ndio italipa Kodi ya Nyumba na kutosha chakula na mavazi?
Kwa Nini mtu asipewe hela zake ili akajiajiri. Unatetea hila na uovu.
Watanzania wanatakiwa kuajiriwa tu, kuwa watumwa wa Mabeberu wanaokuja kuwekeza? Watanzania hawawezi kuwekeza popote...! Nssf inawanyima Watanzania Pesa zao..ili watu washindwe kujiajiri...wawe watumwa tyu
Wewe kweli kabisa sio Mzalendo au umepotoka mno. Ondoa akili huko.