Tundu 'Frankenstein' Lissu

Tundu 'Frankenstein' Lissu

Mfano wa jinsi miscalculation za CCM zilivyompaisha Lissu na kuweza kuwa mtu ambaye hawataweza tena kumdhibiti kama vile ambavyo yule mad scientist alivyoshindwa kulidhibiti dubwana alilolitengeneza mwenyewe.
FYI hilo unaloita dubwana lilikuja kudhibitiwa kwa kufungiwa na kuchomwa moto and that was its end.
Kwani nimesema Tundu Lissu ni evil?
Kawadanganye wasiofuatilia post zako...you are obsessed with Lissu, he haunts you in your sleep.
Stop being so sensitive and stupid to the point that you can't even see my point. Come on now...
Kwa matusi I give it to you...you can shout them from the rooftops but even the perfumes from all of Arabia will not cleanse your bloody hands.
 
FYI hilo unaloita dubwana lilikuja kudhibitiwa kwa kufungiwa na kuchomwa moto and that was its end.

Kawadanganye wasiofuatilia post zako...you are obsessed with Lissu, he haunts you in your sleep.
Kwa matusi I give it to you...you can shout them from the rooftops but even the perfumes from all of Arabia will not cleanse your bloody hands.
Huyu nyani ni msukuma, hakuna watu limukeni kama hao ndugu zangu
 
Zile kamata kamata zisizo na kichwa wala miguu dhidi ya Tundu Lissu na zile kesi uchwara zote zilizofunguliwa dhidi yake naamini ndizo zilizompandisha chati huyo bwana katika huu utawala wa awamu ya tano.

Mara nyingi kama si zote hizo kamata kamata zilitokea baada ya yeye kutoa maneno makali dhidi ya serikali na rais.

Kuna nyakati alikuwa yupo sahihi na nyakati zingine alikuwa mzushi tu. Kwa mfano, aliposema nchi inaendeshwa kwa misingi ya kikabila na kikanda, huo ulikuwa ni uzushi tu. Zilikuwa ni propaganda tu.

Uzushi na propaganda kwenye siasa ni jambo la kawaida sana na la kutegemewa kuwepo. Mwanasiasa asiyezusha, asiyetia chumvi, na asiyepiga propaganda atakuwa kakosea fani.

Sasa mimi naamini hii serikali inafanya makosa sana katika kuwakamata na kuwafungulia mashitaka watu wanaoipinga na kuikosoa. Hizo kesi wanazofunguliwa ni vichekesho mtupu.

Katika kukosea kwao huko, naamini serikali imeunda lidubwana [monster] ambalo kuanzia sasa kwenda mbele itakuwa vigumu kulidhibiti. Lidubwana hili nalifananisha na lile lidubwana la kwenye filamu ya Frankenstein.

Lidubwana hilo ndo Tundu Lissu. Hebu fikiria haya:

Jamaa keshaonyesha kuwa haogopi kuikosoa serikali wala kumsema vibaya rais [mambo ambayo ni ya kawaida sana kwenye demokrasia na ambayo yanahimizwa kufanyika].

Uthubutu na ujasiri wake huo ndo umepelekea yeye kukamatwa kamatwa na kufunguliwa vi kesi uchwara.

Uthubutu na ujasiri huo huo ndo si ajabu umepelekea yeye kushambuliwa kwa risasi kwa lengo la kutaka kumuua. Sijui kwa uhakika ni nani anayehusika na hilo shambulio.

Sasa pata picha atapopona na kurejea tena nchini na kuendelea na harakati zake pale alipoishia!

Serikali itamfanya nini huyu mtu? Wataendelea kumsumbua na hizo kamata kamata zao na kumfungulia hivyo vi kesi uchwara mtu ambaye tayari ana huruma za umma kwa ujumla wake kutokana na yale yaliyomtokea?

Sioni utamkamataje na kumfunga mtu ambaye kanusurika kuuwawa namna ile. Akili yangu inaniambia hata dhamiri yako, kama ni safi, basi itakusuta tu.

Hakika hii serikali ya awamu ya tano ilibugi stepu katika namna ya kumkabili Lissu na sasa amekuwa lidubwana ambaye anaweza asidhibitike tena.

Ni muda tu ndo utaotueleza.....
BLUE/SAMAWATI: hatokuwa tundu lissu yule ingawa anaweza kujaribujaribu lakini hatokuwa na kujiamini kulikopitiliza....kuna wakati inaweza kutokea akawa anadhani anasikia mlio wa bunduki bungeni na kustuka kumbe ni makofi ya wabunge wenzake ....ondoa hofu kabisa mkuu.

RED/NYEKUNDU: magufuli haonekani kuwa na huruma kama hiyo....akilikoroga atakamatwa kama kawa. mark my words!

KIJANI/GREEN: hiyo ni kweli kwani tiba pekee ya mtu anayekutania ni kukaa kimya na kucheka. kwa kufanya hivyo utakuwa umeliepuka lengo lake la kukukasirisha na hatokuwa na nguvu ya kuendelea sana!!!
 
Kwanza kabisa huyo jamaa siyo wa kurudi leo wala kesho na hata akirudi kila kitu kwisha habari yake, kuna kiwango cha risaisi ambazo mwili wa Binadamu unaweza kuhimili, kupigwa risasi zote hizo siyo mchezo, huyo kwanza hata akifanya press conf. mtu akibamiza mlango tu kwa bahati mbaya atazimia atafikiri ni hitman wamemjia tena,

Kama ulishawahi kupigwa risasi au hata kukoswa tu unaweza kuelewa ninachomaanisha, hivyo ukiniuliza mimi huyo Tundu Lisu ndiyo basi tena its over, kwani sidhani hata kama ataweza kutembea tena, achilia bali hata tu kuinuka, atabakia jina tu kwa wafuasi wake kama vile Marando &Co., kwa kifupi they fvcked the guy up forever man, whoever shut him!
Aiseeeeeee. Mbona inaonekana umekata tamaa ya kimaisha hivyo. Kama ni kijana pambana tu utafanikiwa bwana. Kama ni mzee jitahidi hata uache neno kama assert katika kizazi chako, kwani neno ni bora kuliko ukiacha Mali. Usikate tamaa hivyo bwana.
 
..Huo mfano uliotumia siyo mzuri.

..I get a little uncomfortable unapotumia jina "frankeinstein" ktk sentensi moja na mpendwa wetu Tundu Antipas Mughwai Lissu mzalendo nambari moja wa Tz na mtetezi wa wanyonge.

..zaidi kiongozi wetu yupo hospitali akijiuguza kutokana na shambulio la marisasi lililotaka kumtoa maisha. Ulipaswa kuzingatia hilo wakati ukiwasilisha hoja yako.

..Again, hoja yako ni nzuri na mimi nimeichangia.

NB:

..Nashauri tuendelee tu na mjadala wetu. Kuna mambo muhimu zaidi ya kujadili ndani ya bandiko lako.
Mfano ni mzuri kabisa.

Tatizo lako unatumia hisia zaidi kuliko akili katika kumjadili huyo "mpendwa" wako Lissu.

Al-Watan keshasema ni heri mumuite Tundu Yesu kabisa.

Mfano wa jinsi Lissu atakavyokuwa mgumu kudhibitiwa na serikali kutokana na makosa ya hiyo serikali una ubaya gani hasa?

Mimi sijazungumzia ubaya wa Lissu. Sijasema matendo ya Lissu ni sawa na matendo ya Frankenstein. Kwanza Frankestein monster ni kiumbe wa kufikirika tu.

Kama ningemfananisha na Hitler hapo sawa.

Lakini katika muktadha wa hoja, kwamba CCM na serikali yake ndo wanahusika moja kwa moja katika kumpandisha chati Lissu na sasa hawatoweza tena kumdhibiti kama vile ambavyo yule mad scientist alivyotengeneza lile li monster aliloshindwa kulidhibiti...sioni kabisa kosa hapo.

Nipo sahihi kabisa.
 
Kwanza kabisa huyo jamaa siyo wa kurudi leo wala kesho na hata akirudi kila kitu kwisha habari yake, kuna kiwango cha risaisi ambazo mwili wa Binadamu unaweza kuhimili, kupigwa risasi zote hizo siyo mchezo, huyo kwanza hata akifanya press conf. mtu akibamiza mlango tu kwa bahati mbaya atazimia atafikiri ni hitman wamemjia tena,

Kama ulishawahi kupigwa risasi au hata kukoswa tu unaweza kuelewa ninachomaanisha, hivyo ukiniuliza mimi huyo Tundu Lisu ndiyo basi tena its over, kwani sidhani hata kama ataweza kutembea tena, achilia bali hata tu kuinuka, atabakia jina tu kwa wafuasi wake kama vile Marando &Co., kwa kifupi they fvcked the guy up forever man, whoever shut him!
What Doesn't Kill You Makes You Stronger
 
Mfano ni mzuri kabisa.

Tatizo lako unatumia hisia zaidi kuliko akili katika kumjadili huyo "mpendwa" wako Lissu.

Al-Watan keshasema ni heri mumuite Tundu Yesu kabisa.

Mfano wa jinsi Lissu atakavyokuwa mgumu kudhibitiwa na serikali kutokana na makosa ya hiyo serikali una ubaya gani hasa?

Mimi sijazungumzia ubaya wa Lissu. Sijasema matendo ya Lissu ni sawa na matendo ya Frankenstein. Kwanza Frankestein monster ni kiumbe wa kufikirika tu.

Kama ningemfananisha na Hitler hapo sawa.

Lakini katika muktadha wa hoja, kwamba CCM na serikali yake ndo wanahusika moja kwa moja katika kumpandisha chati Lissu na sasa hawatoweza tena kumdhibiti kama vile ambavyo yule mad scientist alivyotengeneza lile li monster aliloshindwa kulidhibiti...sioni kabisa kosa hapo.

Nipo sahihi kabisa.
Hapo unaweza kuwa una make a case against the government,na mshabiki wa Tundu Yesu anakushambulia wewe.
 
FYI hilo unaloita dubwana lilikuja kudhibitiwa kwa kufungiwa na kuchomwa moto and that was its end.

So what? That was just a movie.

Kawadanganye wasiofuatilia post zako...you are obsessed with Lissu, he haunts you in your sleep.

The only one with an obsession here is you. Your old ass is obsessed with me. Wherever you see my face you have to get my attention. Behaving like a groupie. I must live rent free in your head.

Kwa matusi I give it to you...you can shout them from the rooftops but even the perfumes from all of Arabia will not cleanse your bloody hands.

And for some reason you seem not to get enough of them. Shocker!
 
Ataendesha harakati zake kwenye wheelchair

Mungu hadhihakiwi.....usije kushangaa wewe kesho ndiye ukawa mvushwa barabara ukiwa ktk wheelchair......!!

Yesu Kristo wa Nazareth aligongomelewa misumari nadhani ya nchi kumi kabisa ile, yet alipata matibabu ya madaktari wabobezi na kutibu mifupa iliyovunjwa vunjwa na wanajeshi wale majahiri wa Kirumi na hawakuamini walipomuona anatembea tena na leo yu hai akikuita hata wewe utubu dhambi zako....

Ndugu kumbuka pia hii, kuwa, siku zote kama hujafa, basi hukuumbika...!!
 
So what? That was just a movie.



The only one with an obsession here is you. Your old ass is obsessed with me. Wherever you see my face you have to get my attention. Behaving like a groupie. I must live rent free in your head.



And for some reason you seem not to get enough of them. Shocker!
Nguin per se!
 
Hapo unaweza kuwa una make a case against the government,na mshabiki wa Tundu Yesu anakushambulia wewe.

Hahahaaa and that's pretty much what it is.

Basically all I'm saying is that the government has been very clumsy and inept in dealing with its detractors and as a result they have elevated Lissu to a position where they can't handle him anymore.

But for some reason I'm getting attacked.

Funny and sad at the same time.
 
Yote hayo yanitokee kwa sababu ya Tundu Lisu?

KABISA KATAA AU KUBALI..UKIANZA KUONA VITOTO VYAKO HATA SHULE HAVIELEWI,VINAFELI FORM FOUR HATA KAMA UTAKUWA NA PESA KIASI GANI HIYO NI LAANA TOSHA.KWA SASA HUWEZI KUONA LAKINI SIKU ZAJA AMBAZO HATA UKOO NA FAMILIA YAKO AJIRA HAZITAKUWEPO,BIASHARA ZIATAKUWA HAZIENDI.DAMU YA TUNDU LISSU ITAKUWA INA KULILIA KATIKA ARDHI.NAOMBA BAADA YA MIAKA KADHAA TUKIPEWA UZIMA URUDI HAPA UTOE USHUHUDA WA LAANA HIYO.KISASI NI JUU YA BWANA.WEWE LEO NI MBUNGE WA VITI MAALUM NINA UHAKIKA HUWA UNAHISI DUNIA HII NI YA KWAKO NA KAMWE HUTA KUFA WALA HUTOPATA MAJANGA.KAA UTAMBUE MUNGU HADHIHAKIWI APANDACHO MTU NDICHO AKACHOVUNA(WAKOLOSAI 5;6).CHEO ULICHONACHO NI DHAMANA TU,LEO UNAVYO KESHO HUNA.Bahati nzuri nina kufahamu vizuri
 
Zile kamata kamata zisizo na kichwa wala miguu dhidi ya Tundu Lissu na zile kesi uchwara zote zilizofunguliwa dhidi yake naamini ndizo zilizompandisha chati huyo bwana katika huu utawala wa awamu ya tano.

Mara nyingi kama si zote hizo kamata kamata zilitokea baada ya yeye kutoa maneno makali dhidi ya serikali na rais.

Kuna nyakati alikuwa yupo sahihi na nyakati zingine alikuwa mzushi tu. Kwa mfano, aliposema nchi inaendeshwa kwa misingi ya kikabila na kikanda, huo ulikuwa ni uzushi tu. Zilikuwa ni propaganda tu.

Uzushi na propaganda kwenye siasa ni jambo la kawaida sana na la kutegemewa kuwepo. Mwanasiasa asiyezusha, asiyetia chumvi, na asiyepiga propaganda atakuwa kakosea fani.

Sasa mimi naamini hii serikali inafanya makosa sana katika kuwakamata na kuwafungulia mashitaka watu wanaoipinga na kuikosoa. Hizo kesi wanazofunguliwa ni vichekesho mtupu.

Katika kukosea kwao huko, naamini serikali imeunda lidubwana [monster] ambalo kuanzia sasa kwenda mbele itakuwa vigumu kulidhibiti. Lidubwana hili nalifananisha na lile lidubwana la kwenye filamu ya Frankenstein.

Lidubwana hilo ndo Tundu Lissu. Hebu fikiria haya:

Jamaa keshaonyesha kuwa haogopi kuikosoa serikali wala kumsema vibaya rais [mambo ambayo ni ya kawaida sana kwenye demokrasia na ambayo yanahimizwa kufanyika].

Uthubutu na ujasiri wake huo ndo umepelekea yeye kukamatwa kamatwa na kufunguliwa vi kesi uchwara.

Uthubutu na ujasiri huo huo ndo si ajabu umepelekea yeye kushambuliwa kwa risasi kwa lengo la kutaka kumuua. Sijui kwa uhakika ni nani anayehusika na hilo shambulio.

Sasa pata picha atapopona na kurejea tena nchini na kuendelea na harakati zake pale alipoishia!

Serikali itamfanya nini huyu mtu? Wataendelea kumsumbua na hizo kamata kamata zao na kumfungulia hivyo vi kesi uchwara mtu ambaye tayari ana huruma za umma kwa ujumla wake kutokana na yale yaliyomtokea?

Sioni utamkamataje na kumfunga mtu ambaye kanusurika kuuwawa namna ile. Akili yangu inaniambia hata dhamiri yako, kama ni safi, basi itakusuta tu.

Hakika hii serikali ya awamu ya tano ilibugi stepu katika namna ya kumkabili Lissu na sasa amekuwa lidubwana ambaye anaweza asidhibitike tena.

Ni muda tu ndo utaotueleza.....


NDIZO ZILIZOMPANDISHA CHAT, MAANA WEWE ULIKUWA UNA CHAT ZAIDI YAKE BY THEN? HEMU NA WEWE TAFUTA KESI ILI UPANDE CHAT
 
KABISA KATAA AU KUBALI..UKIANZA KUONA VITOTO VYAKO HATA SHULE HAVIELEWI,VINAFELI FORM FOUR HATA KAMA UTAKUWA NA PESA KIASI GANI HIYO NI LAANA TOSHA.KWA SASA HUWEZI KUONA LAKINI SIKU ZAJA AMBAZO HATA UKOO NA FAMILIA YAKO AJIRA HAZITAKUWEPO,BIASHARA ZIATAKUWA HAZIENDI.DAMU YA TUNDU LISSU ITAKUWA INA KULILIA KATIKA ARDHI.NAOMBA BAADA YA MIAKA KADHAA TUKIPEWA UZIMA URUDI HAPA UTOE USHUHUDA WA LAANA HIYO.KISASI NI JUU YA BWANA.WEWE LEO NI MBUNGE WA VITI MAALUM NINA UHAKIKA HUWA UNAHISI DUNIA HII NI YA KWAKO NA KAMWE HUTA KUFA WALA HUTOPATA MAJANGA.KAA UTAMBUE MUNGU HADHIHAKIWI APANDACHO MTU NDICHO AKACHOVUNA(WAKOLOSAI 5;6).CHEO ULICHONACHO NI DHAMANA TU,LEO UNAVYO KESHO HUNA.Bahati nzuri nina kufahamu vizuri


Huwo ushauri ulipaswa umpe Tundu Lisu kabla ya majanga, lkn pia unaweza kumpa akitoka haujachelewa!
 
Ndugu Barbarosa Unatushangaza. Moyo wako hauna hata chembe ya Huruma. Mwenzetu ameumizwa kwa mambo ambayo hajafanya. Mwogopeni Mungu. One day it will you who knows. Hata kama huko vizuri sasa hivi lakini hata marais walioishi vizuri nao kuna siku walimiminiwa risasi. Siku nyingine uwe angalau na utu. Leo kwake na kesho kwako. Duniani hakuna usalama bali kumejaa ushetani ambao hauna huruma.
 
Back
Top Bottom