Sababu kaongea ukweli sio?Leo makamanda watakuunga mkono.
Sababu kaongea ukweli sio?Leo makamanda watakuunga mkono.
Japo umeandika kinokonoko lkn ndiyo ukweli huu. Ingawa ukweli siku zote huwa mchungu.Kwanza kabisa huyo jamaa siyo wa kurudi leo wala kesho na hata akirudi kila kitu kwisha habari yake, kuna kiwango cha risaisi ambazo mwili wa Binadamu unaweza kuhimili, kupigwa risasi zote hizo siyo mchezo, huyo kwanza hata akifanya press conf. mtu akibamiza mlango tu kwa bahati mbaya atazimia atafikiri ni hitman wamemjia tena,
Kama ulishawahi kupigwa risasi au hata kukoswa tu unaweza kuelewa ninachomaanisha, hivyo ukiniuliza mimi huyo Tundu Lisu ndiyo basi tena its over, kwani sidhani hata kama ataweza kutembea tena, achilia bali hata tu kuinuka, atabakia jina tu kwa wafuasi wake kama vile Marando &Co., kwa kifupi they fvcked the guy up forever man, whoever shut him!
Akirudi atakua kama simba aliejeruhiwa.Japo watu wengi wanafikiri Lisu atarudi na moto ule au zaidi, lkn mm nakuhakikishia Lisu akirudi atakuwa kama kina Ulimboka!
Iwe ukweli au uongo utajaza mwenyewe. Huko sipo kabisaa.Sababu kaongea ukweli sio?
Due! Ndivyo unavyoombea!?Ataendesha harakati zake kwenye wheelchair
Hana akili hiyo ya kujua MUNGU NDIYE MPONYAJI. NA ANASUMBULIWA NA KUUMIA MUNGU KUMUOKOA LISU NA MAUTI WALIOPANGA. ni shetani anayepambana na uweza wa MUNGU.Wengi wenu kuna kitu hmjui “Madaktari wanatibu Mungu anaponya” uwe Africa au Ulaya
Lissu alishasema atanyamazishwa kwa kifo tu,usidhani aliongea kitu asichokifahamu kama wewe.Ushawahi pigwa risasi wewe au unaongea tu? Hiyo kitu inauma usisikie!
...I get a little uncomfortable unapotumia jina "frankeinstein" ktk sentensi moja na mpendwa wetu Tundu Antipas Mughwai Lissu mzalendo nambari moja wa Tz na mtetezi wa wanyonge.
Wheelchair atatumia mjomba wako!Ataendesha harakati zake kwenye wheelchair
Hivi kuna mtu huwa anakuelewa unaandika nini?Yake yakianza kubwagwa ataufyata tu.. nafikiri kwake kuna ile kuachiwa na kuangaliwa huku hajui wajuayo.. na hawezi kupata cheo anachotaka hadi wenzake wakubali(ndio maana wanatendeana majanga yanayoendelea kusisukumia kama vile ni serikali). naona ataendelea kupiga mdomo tuuuuu na kuishia alipo.. akitokea kupewa cheo makombora yatarushwa pwaaaaaa..
Mkuu nyani ngabu kumbe mnajua kila kitu sasa huwa mnashupaza shingo za nini?
Ni hapo utakapomwona anatembea. Dunia hii kila mtu na ngozi yake. Marando ile kitu mlifanya si sawa na hii mliyofanya,Kwanza kabisa huyo jamaa siyo wa kurudi leo wala kesho na hata akirudi kila kitu kwisha habari yake, kuna kiwango cha risaisi ambazo mwili wa Binadamu unaweza kuhimili, kupigwa risasi zote hizo siyo mchezo, huyo kwanza hata akifanya press conf. mtu akibamiza mlango tu kwa bahati mbaya atazimia atafikiri ni hitman wamemjia tena,
Kama ulishawahi kupigwa risasi au hata kukoswa tu unaweza kuelewa ninachomaanisha, hivyo ukiniuliza mimi huyo Tundu Lisu ndiyo basi tena its over, kwani sidhani hata kama ataweza kutembea tena, achilia bali hata tu kuinuka, atabakia jina tu kwa wafuasi wake kama vile Marando &Co., kwa kifupi they fvcked the guy up forever man, whoever shut him!
Mkifanya hivyo Mh LOWASSA na mbowe nao itakuwaje. Mbona hamumpendi Lissu nyie, masikini hapa juzi juzi tuu maisha yake yaliingia hatarini, sasa mnataka alishwe sumu ya kuua taratibu hata ikifika 2019 sio yeye tena.Lisu tutampa URAIS 2020 hamna namna nyingine tena ya kumlipa uzalendo aliotuonyesha Tundu Antipas Lissu. Mwisho wa utawala uchwara umewadia.
Get well soon Tundu Lissu "The Upcoming President Of The United Republic of Tanzania"