hakika utakufa
JF-Expert Member
- Aug 8, 2016
- 1,786
- 822
Lkn ww iko siku utazikwa ukiwa mzima.Ataendesha harakati zake kwenye wheelchair
Lkn ww iko siku utazikwa ukiwa mzima.Ataendesha harakati zake kwenye wheelchair
Huwo ushauri ulipaswa umpe Tundu Lisu kabla ya majanga, lkn pia unaweza kumpa akitoka haujachelewa!
Ni hapo utakapomwona anatembea. Dunia hii kila mtu na ngozi yake. Marando ile kitu mlifanya si sawa na hii mliyofanya,
sumu na risasi ni vitu viwili tofauti. Tundu atatembea na hamtaamini
MUNGU AONAYE SIRINI NA AHUKUMU KADIRI AONAVYO,.SISI WANADAMU TUMEPEWA JUKUMU NA KUONYA KWA MTU YULE ATENDAYE UOVU ILIAIACHE NJIA MBAYA,(ezekieli 33;7-9) .MWENYE KUTOA LAANA JUU YA MTU BAADA YA KUMWAGA DAMU ISIYO NA HATIA KAMA ILIVYO KUWA KWA KAINI NI MUNGU PEKEE.Natambua wewe ni MKRISTO kwa hiyo unajitoa ufahamu kuwa furahisha wakubwa/Mabwana lakini umesahau kuwa kuna kufa,umesahau kuwa kuna magonjwa,umesahau kuwa kuna ukomo wa haya ,umesahau kuwa kuna laana unaweza kuichuma, umesahau kuwa kuna kuachishwa unacho kifanya.Dada CCM isiwe kila kitu kwako na hata kukotolea ubinadamu na hata kukukosesha mbingu,na hata kukusababishia moto wa milele.Kwa nini ukubali kuwa laana(kwenu) kisa CCM?
Hapo unaweza kuwa una make a case against the government,na mshabiki wa Tundu Yesu anakushambulia wewe.
Na siku ukisikia waliompiga risasi Tundu Lisu walikuwa ni chadema utasema nini? Mbona na wewe unakifanya kile kile ambacho unawalaumu wengine kukifanya? Unahukumu bila ya kuwa na ushahidi wowote ule, unawajua waliompiga Tundu Lisu risasi?
funk youAtaendesha harakati zake kwenye wheelchair
Black and white na ndio hali halisiKwanza kabisa huyo jamaa siyo wa kurudi leo wala kesho na hata akirudi kila kitu kwisha habari yake, kuna kiwango cha risaisi ambazo mwili wa Binadamu unaweza kuhimili, kupigwa risasi zote hizo siyo mchezo, huyo kwanza hata akifanya press conf. mtu akibamiza mlango tu kwa bahati mbaya atazimia atafikiri ni hitman wamemjia tena,
Kama ulishawahi kupigwa risasi au hata kukoswa tu unaweza kuelewa ninachomaanisha, hivyo ukiniuliza mimi huyo Tundu Lisu ndiyo basi tena its over, kwani sidhani hata kama ataweza kutembea tena, achilia bali hata tu kuinuka, atabakia jina tu kwa wafuasi wake kama vile Marando &Co., kwa kifupi they fvcked the guy up forever man, whoever shut him!
Kufuru pekee hapa ni kuongelea kuongelea mtu kufuru.Al-Watan, unayo ruhusa ya kudhihaki na kumuita mtu yeyote Yesu, the name means nothing to you, aint it? Kwa wengine ni kufuru but then how would you know that?
Similarly to your buddy Nyani Ngabu, the name Yesu ain't nothing. It is no wonder, he rejoices at the agony Mh. Tundu is undergoing right now, the dude is blood-thirsty.
His coming up with the name Frankenstein wasn't accidental just like 30 bullets into Mh. Tundu's body weren't accidental. Thanks, God's Power and Glory has been manifested.
Al-Watan, unayo ruhusa ya kudhihaki na kumuita mtu yeyote Yesu, the name means nothing to you, aint it? Kwa wengine ni kufuru but then how would you know that?
Similarly to your buddy Nyani Ngabu, the name Yesu ain't nothing. It is no wonder, he rejoices at the agony Mh. Tundu is undergoing right now, the dude is blood-thirsty.
His coming up with the name Frankenstein wasn't accidental just like 30 bullets into Mh. Tundu's body weren't accidental. Thanks, God's Power and Glory has been manifested.
Zamu yako inakuja, nakuhakikishia kwa Jina la Mungu na Wewe utapigwa risasi, note my words.Kwanza kabisa huyo jamaa siyo wa kurudi leo wala kesho na hata akirudi kila kitu kwisha habari yake, kuna kiwango cha risaisi ambazo mwili wa Binadamu unaweza kuhimili, kupigwa risasi zote hizo siyo mchezo, huyo kwanza hata akifanya press conf. mtu akibamiza mlango tu kwa bahati mbaya atazimia atafikiri ni hitman wamemjia tena,
Kama ulishawahi kupigwa risasi au hata kukoswa tu unaweza kuelewa ninachomaanisha, hivyo ukiniuliza mimi huyo Tundu Lisu ndiyo basi tena its over, kwani sidhani hata kama ataweza kutembea tena, achilia bali hata tu kuinuka, atabakia jina tu kwa wafuasi wake kama vile Marando &Co., kwa kifupi they fvcked the guy up forever man, whoever shut him!
DADA siku zote nakuambia mimi siyo mwanasiasa mimi ni mtumishi wa MUNGU na huwa na kwambia ukweli unacho kiandika kinafanana na jinsi ulivyo.Huwa unajitoa ubinadamu na kuvaa ushetani.CCM wote ni binadamu na wote ni mali ya MUNGU na wote watakufa,KWANINI WEWE Pekee ndiyo unajivika USHETANI?.Tazama ni nani CCM ambaye ana maneno ya kishetani yasiyo na chembe ya utu ndani mwake kama siyo wewe ? unafikiri CCM wote ni wajinga hata wasiweze kuandika ushetani kama wako lahashaa..wana hofu na MUNGU na wanajua ipo siku watakufa na CCM wataiacha na wataulizwa kwa matendo yao.,Nakuonya tena acha tabia hizo acha kumsaidia shetani kazi,acha kuchuma laana ndani ya nyumba yako za kutofaulu na kutoelewa zinatosha
Zamu yako inakuja, nakuhakikishia kwa Jina la Mungu na Wewe utapigwa risasi, note my words.
Dunia ni ya Mungu, Tanzania ni ya Mungu, hamtabaki salama kwa uovu wenu.
Unakumbuka walimfanya nini Mwangosi?.. Lidubwana hilo ndo Tundu Lissu. Hebu fikiria haya:...Jamaa keshaonyesha kuwa haogopi kuikosoa serikali wala kumsema vibaya rais [mambo ambayo ni ya kawaida sana kwenye demokrasia na ambayo yanahimizwa kufanyika].....
Uthubutu na ujasiri huo huo ndo si ajabu umepelekea yeye kushambuliwa kwa risasi kwa lengo la kutaka kumuua. Sijui kwa uhakika ni nani anayehusika na hilo shambulio.
Sasa pata picha atapopona na kurejea tena nchini na kuendelea na harakati zake pale alipoishia!
Serikali itamfanya nini huyu mtu? ..
Ni muda tu ndo utaotueleza.....
Hahaaaa magonjwa mtambuka.kazi mnayoIwe ukweli au uongo utajaza mwenyewe. Huko sipo kabisaa.
Hivi kuna mtu huwa anakuelewa unaandika nini?
Nyani ngabu Leo umeongea point, kasoro hapo kwenye ukabila.jambo hilo ni dhahiri wala aihitaj elimu ya PhD kuliona hilo.
Never on the earth.other lissu will come and rise.who did it God will give her share.ndo mwanzo huo.you cant close the mind of redeemers when they are in deep sorrow.matter of time.R.I.P BabarosaKwanza kabisa huyo jamaa siyo wa kurudi leo wala kesho na hata akirudi kila kitu kwisha habari yake, kuna kiwango cha risaisi ambazo mwili wa Binadamu unaweza kuhimili, kupigwa risasi zote hizo siyo mchezo, huyo kwanza hata akifanya press conf. mtu akibamiza mlango tu kwa bahati mbaya atazimia atafikiri ni hitman wamemjia tena,
Kama ulishawahi kupigwa risasi au hata kukoswa tu unaweza kuelewa ninachomaanisha, hivyo ukiniuliza mimi huyo Tundu Lisu ndiyo basi tena its over, kwani sidhani hata kama ataweza kutembea tena, achilia bali hata tu kuinuka, atabakia jina tu kwa wafuasi wake kama vile Marando &Co., kwa kifupi they fvcked the guy up forever man, whoever shut him!
Sasa bashite kula mkate kwa nguruwe siku zake zinahesabika kama mulivyotumia risasi ndivyo Nanci mutakavyoondoka kwa risasi watch it kama madole hayakutoshi utapata habari yakoKwanza kabisa huyo jamaa siyo wa kurudi leo wala kesho na hata akirudi kila kitu kwisha habari yake, kuna kiwango cha risaisi ambazo mwili wa Binadamu unaweza kuhimili, kupigwa risasi zote hizo siyo mchezo, huyo kwanza hata akifanya press conf. mtu akibamiza mlango tu kwa bahati mbaya atazimia atafikiri ni hitman wamemjia tena,
Kama ulishawahi kupigwa risasi au hata kukoswa tu unaweza kuelewa ninachomaanisha, hivyo ukiniuliza mimi huyo Tundu Lisu ndiyo basi tena its over, kwani sidhani hata kama ataweza kutembea tena, achilia bali hata tu kuinuka, atabakia jina tu kwa wafuasi wake kama vile Marando &Co., kwa kifupi they fvcked the guy up forever man, whoever shut him!