Mbase1970
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 6,053
- 4,595
Jamaa kishamaliza kaziTv Yangu inaonyesha hard talk 00.30 am 21/1/19 Ngoja niivute usingizi Ili niamke nimsikilize
Jamaa kishamaliza kaziTv Yangu inaonyesha hard talk 00.30 am 21/1/19 Ngoja niivute usingizi Ili niamke nimsikilize
mkuu niko na replay hapa naomba mrejesho wakoJamaa kishamaliza kazi
Mbona mnakasirika sana, kwani mnaumia?Hivi kufanya ziara ndio ushindi wa urais?
Je tundu kuhutubia au kuhojiwa BBC...ndio kuna TIJA gani kwa mpiga kura wa nchi hii.?
Je kuna kick gani ya kisiasa kwa chama chenu?
Hata KAMA wazungu watamtuma lissu sisi tunampiga kwa ndebe ya kura.
Nchi hii kamwe hatutaiachia kwa wajasiliamali wa siasa mangimeza kama huyu mtoro wa bunge.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni zama za jutukuza TBC. Sawa kabisa.BBC HARD TALK !!
Hizi sio zama za kutukuza vyombo vya habari vya magharibi!
mkuu sikiliza ndo uje na mrejesho.Tuletee maswali ya chumbani ya wazazi wako ,Halafu tujadili hayo ya Uingereza
Ya chumbani kwa wazazi wako yamekushinda utayaweza ya wazungu
Amedondokea pua, Hivi wewe uliwahi saidia shika mguu wakati Mzee akiendelea na kazi
Hivi ile convoy iliyotaka kummaliza kwa kummiminia mvua ya risasi ilishawahi kuchukuliwa hatua zozote?Hapa ninahasira sana
Lissu na wapambe wako nakuuliza ni faida gani umeipata kuichafua Tanzania hii na kumchafua Rais Magufuli?
Kweli umeshindwa kuelezea hata jema moja alilofanya huyu Rais?kweli tunamponda magufuli lakini sio huko mnakoenda huo sii utamaduni wetu watanzania.
Hivi ile convoy iliyotaka kummaliza kwa kummiminia mvua ya risasi ilishawahi kuchukuliwa hatua zozote?
Jr