Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,477
- 30,130
Hahaaaaaa...........Hadi wanapatwa na matumbo ya kuhara, muda wote wanashinda tu chooni kukalia vyoo vya sink
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaaaaaa...........Hadi wanapatwa na matumbo ya kuhara, muda wote wanashinda tu chooni kukalia vyoo vya sink
Natangaza mgao wa bure wa vinywaji kwa yeyote atakayekuwemo ndani ya Bar ya Kisuma Tandika Mwembeyanga muda ambao Tundu Lissu atakuwa anaungurumaStephen sucker. Hiki kichwa ni noma sana kina maswali hatati na kinatafuta data za maana.
Msishangae akiuliza kuhusu ile kauli ya kupiga mbizi au akiuliza kuhusu makonda.
Stev Sucker ni noma sana
Trust me Leo serikal haitalaa watakaa macho kama unabisha baada ya kipind lazma uone msemaji Wa serkali aki twit,then DAB,afu anafuata musiba, na kesho na Yale majarida ya musiba yanasubri iyo habar ndo iandkwe kinyumee...View attachment 1000477View attachment 1000477
Tundu Lissu MP
HARDtalk
HARDtalk's Stephen Sackur speaks to Tanzanian opposition MP, Tundu Lissu. Tanzania is one of Africa's fastest growing nations economically and demographically - it's also governed by one of the continent's most controversial leaders: president John Magafuli, otherwise known as the 'Bulldozer'. Tundu Lissu is one of his leading domestic opponents, at least he was, until gunmen pumped more than 20 bullets into his body in 2017. Lissu survived and has rejoined the fight against a ruler he describes as a petty dictator. But maybe Tanzanians like strong man rule?
GT wa LumumbaKumeibuka mjadala mkubwa katika mitandao kijamii kufatia kile kilichodaiwa kuwa ni kauli ya Mh. Spika Ndugai, iliyomtaka arejee nchini na kuendelea na shughuli zake za kibunge vinginevyo sheria itachukua mkondo wake dhidi yake.
Hivi karibuni TAL akihojiwa na moja ya vyombo vya habari huko Uingereza, alisema kwamba kwa sasa amepona na atarudi nchini muda wowote; pia alitumia wasaa huo kuwaweka wazi Watanzania na jumuiya ya kimataifa kuwa yupo tayari kugombea nafasi ya juu kabisa ya uongozi katika nchi yetu hapo mwaka 2020 kama chama chake kitaridhia apeperushe bendera yake.
Kinachoshangaza ni kuwa wapambe wake wamekuwa na wasiwasi juu ya usalama wa Lissu kuliko Lissu mwenyewe. Wakati yeye akisema yuko tayari kurejea nchini wakati wowote, wao wanasema asirejee hata kama atapoteza nafasi ya Ubunge huku wakidai kuwa wanahofia usalama wake na wengine wamesema aombe “Political Asylum” katika moja ya nchi hizo, sijui kwa vigezo vipi. Viongozi wa juu wa CHADEMA bado wapo kimya kabisa katika hili. Kuna siri nzito ambayo Lissu na dereva wake wanajua.
Nilichojifunza hapo ni kuwa wapambe wake wanakubali wazi kuwa TAL anavunja sheria kwa kutojishughulisha na masuala ya Kibunge bila kibali cha Spika wakati akiwa na afya njema kabisa, na badala yake anafanya ziara nje ya nchi zenye malengo hasi kwa nchi yetu. Hivyo wapambe wake hawatashangazwa iwapo Spika ataamua kutomtambua Lissu kama Mbunge, lakini tutarajie malalamiko yao kama kawaida ya kulalamikia kile wasichokiamani.
Lissu bado anaamini kuwa Tanzania ni nchi ya amani tofauti na wapambe wake wanavyoamini na ndiyo maana ameweka wazi mipango yake kisiasa. Tujiulize maswali haya, iwapo ataomba hifadhi nje kama wapambe wake wanavyotaka, “Plan Yake” ya kuwa Rais itakuwaje? Je, atafanya kampeni na kuchaguliwa kutoka huko huko aliko?
Katika hili, Lissu na wapambe wako hamko pamoja kabisa.
Hujaelewa.Ninatumia king'amuzi cha DSTV. Ninetazama programme schedule yao Channel ya 400, nimeona ni kweli lakini siyo leo jumapili saa 5:30usiku huu bali ni kesho jumatatu saa 1:30 - 2:00 asubuhi saa za Afrika Mashariki.
Ni mazungumzo ya nusu saa.
Na watakaokuwa wanamhoji ni Stephen Sackur, Zainab Badawi na Sarah Mo....
Kwa wenye king'amuzi cha DSTV, tune Channel 400
Hii ni moja ya Media News kubwa duniani.
Kama Mtanzania mwenzetu aliyepitia madhira makubwa ya hata kunusurika kifo cha shambulizi la ugaidi was kidola dhidi ya raia amepata fursa kwenye media kama hii kueleza lolote, si vibaya kutazama na kusikiliza mazungumzo haya....
Wasiwasi wangu tusishangae TANESCO kuagizwa kukata umeme nchi nzima.....kiss?
Lissu Tundu anaohojiwa na BBC!!
Kesho natabiri umeme kutokuwepo au kutakua na uteuzi/utenguzi/tukio flani ku divert attention.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hujaelewa.
Hao kina zainabu badawi etc nao ni baadhi ya waandishi wa Hard Talk.
Ila kesho Tundu lisu atakuwa na mtu mmoja tu naye ni Stephen sucker
GT wa Lumumba
Mnakidhalilisha chama wallah,bora kukaa kimya kuliko kuandika habari mfu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Majitu hovyo sana, Maana mdhungu ndio kamungu kao walahiBBC HARD TALK !!
Hizi sio zama za kutukuza vyombo vya habari vya magharibi!
Wote wanosema arudi nia ni kummalizia na ujue ndiyo walihusika direct au indirect kwenye kutaka kumuua au walihusika japo ku'plan au at least walikuwa wanauju huo mpango.
Wote wanosema arudi nia ni kummalizia na ujue ndiyo walihusika direct au indirect kwenye kutaka kumuua au walihusika japo ku'plan au at least walikuwa wanauju huo mpango.
Akichemka akarudi katika mazingira haya ya kisiasa Bongo basi ajue lazima genge la wahuni lililomshambulia ndiyo litaimalizia kazi ya kumuua,anaweza hata kutunguliwa wakati anshuka ngazi za kwenye ndege na watunguaji wakasepa taratibu kurudi zao Magogoni(or is it Kijitonyama?).
Wanajua wenyewe hilo.
Ukweli ndiyo huo anauanika hadharani na uzuri yuko sehemu salama na ataongea kila anachoamini na alichoona kabla na baada ya tukio husika.Kwan tatizo lipo wapi wamwache kamanda afanye yote lakin akirud sisi wengine tutataka atuambie ukwel nan alimfanyia vile?
Mana naona upand wa kaskazin unautupia sana mawe pand zingine kusin, nyanda za juu,kati na nyanda ya ziwa(hapa zaidi )
Sent using Jamii Forums mobile app