Tunda gani hili?

Tunda gani hili?

Na Lushoto....zawadi na kombe na cash unabeba wewe


....Asante sana Mtani kwa zawadi Preta pokea kombe cash kwangu mimi !!!

1204357866_usambara-irente-05.jpg
 
....

.......Mungu akipenda Mwaka mpya ntakuwa huko kusherekea naanzia Ngorongoro Serengeti ..Mungu atupe nini watizedi??

Aisee ngoja nijitahidi nami niwepo tutawasiliana
 
.....No No No weee botany na Geology imelala hapa .....

hiyo kitu inaitwa Eriobotrya japonica ....chaga Mtangawizi ,shitunda, Luguru msambwawa kizungu...Sambaa msambia

eriobotrya_japonica_1740.jpg





Uapaka nitida
ni hii hapa chini...in tanzania found in geita iringa njombe ruvuma and mbeya

euph_uapaca_nitida_p1140834_gbaumann_2796_787bd7.jpg


cc Preta Kaunga

Thanks, naona nilichanganya. The specie is new to me. Kwetu miombo woodland hiyo kitu haipo, inayofanana kidogo ndio hiyo but ni two far different species
 
Kitu cha Moshi hicho.

Ni kweli cha Moshi.kikwetu tunaitaga hayo matunda "elimu". Huo mti ni mgumu sana na unatumika kujengea na mara nyingi hupandwa mpakani pia majani yake ni chakula kizuri kwa mbuzi
 
dah ata mm nakulaga ila jina clijui kabisa
 
Kiukweli kabisa yanaitwa Shitunda. Matam kupita maelezo haswa yakiiva hivyo. Utadhani Kilombero sugar imehamia humo ndani. Dah! Mate yamenitoka. mshana jr acha kuwatamanisha watu kihivyo
 
Kiukweli kabisa yanaitwa Shitunda. Matam kupita maelezo haswa yakiiva hivyo. Utadhani Kilombero sugar imehamia humo ndani. Dah! Mate yamenitoka. mshana jr acha kuwatamanisha watu kihivyo

Ila usiombe ukipata magwadu ni dawa nzuri sana kwa mimba changa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom