Tunda gani hili?

Tunda gani hili?

Nashangaa sana hili tunda kuwa na majina ya kienyeji tu.......nimeyala sana na yapo mengi sana kwetu......ila ndio tunayaita helimu kama hivyo........

ma bwana shamba tupeni hata scientific name........tugugo.....

Uapaca nitida
 
Heee heee sambia hizo (kwa kisambaa) umenikumbusha home
 
Mastafeli

9k=


hilo ndio stafeli. nakumbuka wakati nasoma montfort rujewa mbeya miaka ya zamani niliyakuta huko
 

.....No No No weee botany na Geology imelala hapa .....

hiyo kitu inaitwa Eriobotrya japonica ....chaga Mtangawizi ,shitunda, Luguru msambwawa kizungu...Sambaa msambia

eriobotrya_japonica_1740.jpg





Uapaka nitida
ni hii hapa chini...in tanzania found in geita iringa njombe ruvuma and mbeya

euph_uapaca_nitida_p1140834_gbaumann_2796_787bd7.jpg


cc Preta Kaunga
 
nimejaribu kuwekapicha ya stafeli imegoma. sorry for that
 
Owkey........nimepasua nikakuta ndani liko hivi.......ni eryobotrya japinicum.......japanese plum....

attachment.php
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    13.9 KB · Views: 639
Nashangaa sana hili tunda kuwa na majina ya kienyeji tu.......nimeyala sana na yapo mengi sana kwetu......ila ndio tunayaita helimu kama hivyo........

ma bwana shamba tupeni hata scientific name........tugugo.....
Scientific name; Lekimelia simplotasis
 
.....No No No weee botany na Geology imelala hapa .....

hiyo kitu inaitwa Eriobotrya japonica ....chaga Mtangawizi ,shitunda, Luguru msambwawa kizungu...Sambaa msambia

eriobotrya_japonica_1740.jpg





Uapaka nitida
ni hii hapa chini...in tanzania found in geita iringa njombe ruvuma and mbeya

euph_uapaca_nitida_p1140834_gbaumann_2796_787bd7.jpg


cc Preta Kaunga

Na Lushoto....zawadi na kombe na cash unabeba wewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom