Tunda gani hili?

Tunda gani hili?

Sambia. Tamu sana. Tatizo hazitaki usumbufu wala joto. Ukitoka nazo Lushoto ukifia Dar zishabadilika rangi na ladha. Hata sokoni zisiponunuliwa muuzaji anazitelekeza anaondoa zake, maana kesho zinakuwa habari nyingine. Lushotooooo da nimemis oxygen halisi mie loh!
 
Sambia. Tamu sana. Tatizo hazitaki usumbufu wala joto. Ukitoka nazo Lushoto ukifia Dar zishabadilika rangi na ladha. Hata sokoni zisiponunuliwa muuzaji anazitelekeza anaondoa zake, maana kesho zinakuwa habari nyingine. Lushotooooo da nimemis oxygen halisi mie loh!

...


'''''umetisha
 
Kiukweli kabisa yanaitwa Shitunda. Matam kupita maelezo haswa yakiiva hivyo. Utadhani Kilombero sugar imehamia humo ndani. Dah! Mate yamenitoka. mshana jr acha kuwatamanisha watu kihivyo

....

.....ha ha ha umetisha MKUU
 
Hili tunda linaitwa NGULULU,huliwa na watoto kama zabibu lina sukari na mlendamlenda,wakubwa pia tunayala na kuyatumia kama gundi ofisini kwa sababu ya kunatanata kwake,yanapatikana zaidi Moshi(v)vijiji vya Chemchem na Mikocheni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom