Tunauza nguo za kiume kama mashati na suruali

Tunauza nguo za kiume kama mashati na suruali

angelita

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2013
Posts
3,017
Reaction score
2,446
Tunauza nguo za kiume Mashati, Suruali na Kaptura za kadeti bei kwanzia 25,000/= hadi 40,000/=

Dar unaletewa hadi ulipo utachangia gharama ya usafiri kuringana na mahali ulipo.

Mikoani unatumiwa gharama ya utumaji juu yako mteja.

Kwa sample zaidi/ kuweka order yako
Piga/tuma ujumbe WhatsApp
0710278838
IMG_20180916_145429_295.jpg
View attachment 868123
IMG_20180916_150747_716.jpg
IMG_20180916_145531_306.jpg
IMG_20180916_145555_662.jpg
IMG_20180916_145500_020.jpg
IMG_20180916_145356_039.jpg
IMG_20180916_150245_999.jpg
IMG-20180915-WA0059.jpg
IMG_20180915_194539_446.jpg
IMG-20180916-WA0016.jpg
IMG_20180915_194232_798.jpg
IMG-20180915-WA0053.jpg
 
Kasie njoo uninunulie hiyo Lacoste hapo juu...

Angelita nataka hiyo kaptura/pensi / short ya Lacostee iende kwa Baby Lacoste Nyabu Ngani. Unapokea malipo kwa mpesa au Tigo pesa? Kama ndivyo nikutumie kisha ntakupa address ya kupeleka mzigo au utaniambia unapatikana wapi niufate mzigo kwa siku mbili hizi.

Gat it Kasiba, mpatie angelita size yako.
 
Tunauza nguo za kiume Mashati, Suruali na Kaptura za kadeti bei kwanzia 25,000/= hadi 40,000/=

Dar unaletewa hadi ulipo utachangia gharama ya usafiri kuringana na mahali ulipo.

Mikoani unatumiwa gharama ya utumaji juu yako mteja.

Kwa sample zaidi/ kuweka order yako
Piga/tuma ujumbe WhatsApp
0710278838View attachment 868124View attachment 868123View attachment 868125View attachment 868126View attachment 868127View attachment 868128View attachment 868129View attachment 868130View attachment 868133View attachment 868131View attachment 868132View attachment 868134View attachment 868138
Labda unaweza kutusaidia "Competitive Advantage" yako ni nini hasa? Yaani kipi hasa kinaweza kutufanya tukaacha kununua kule tunakonunuaga tukaja kwako?
 
Labda unaweza kutusaidia "Competitive Advantage" yako ni nini hasa? Yaani kipi hasa kinaweza kutufanya tukaacha kununya kule tunakonunuaga tukaja kwako?
Mkuu umeuliza swali kuntu, may be kila kaptula ina box moja la zana za Dume nk. Tuweke wazi wateja wako tutiririke.
 
Angelita nataka hiyo kaptura/pensi / short ya Lacostee iende kwa Baby Lacoste Nyabu Ngani. Unapokea malipo kwa mpesa au Tigo pesa? Kama ndivyo nikutumie kisha ntakupa address ya kupeleka mzigo au utaniambia unapatikana wapi niufate mzigo kwa siku mbili hizi.

Gat it Kasiba, mpatie angelita size yako.
@Kasie dear karibu sana, mawasiliano yapo hapo juu karibu tukuhudumie.
 
Mkuu umeuliza swali kuntu, may be kila kaptula ina box moja la zana za Dume nk. Tuweke wazi wateja wako tutiririke.
Wanunuzi tayari wanatiririka Mkuu, shukrani kwa mchango wako hapa.
 
Labda unaweza kutusaidia "Competitive Advantage" yako ni nini hasa? Yaani kipi hasa kinaweza kutufanya tukaacha kununua kule tunakonunuaga tukaja kwako?
Mkuu swala la kununua ni maamuzi yako binafsi kama tangazo langu litakushawishi, nadhani walionitafuta ubora wa bidhaa na huduma ndiyo umewafanya wanunue, shukrani kwa mchango wako.
 
Mkuu swala la kununua ni maamuzi yako binafsi kama tangazo langu litakushawishi, nadhani walionitafuta ubora wa bidhaa na huduma ndiyo umewafanya wanunue, shukrani kwa mchango wako.
Sasa Mkuu, wewe unajibu wateja vibaya ilhali hizo bei zako ziko juu, K/koo bei ya reja reja inaanzia 20,000/= hadi 22,000/= na kama ni jumla wanakula 18,000/= hadi 20,000/=.
 
Sasa Mkuu, wewe unajibu wateja vibaya ulhali hizo bei zako ziko juu, K/koo bei ya reja reja inaanzia 20,000/= hadi 22,000/= na kama ni jumla wanakula 18,000/= hadi 20,000/=.
Rudi ukasome vizuri alafu useme wapi nilipojibu vibaya maana naona umekurupuka, Mkuu wewe kanunue kariakoo hizo ulizozitaja hakuna aliyekukataza kila mtu na maamuzi yake na ukubwa wa mfuko wake, ndomana Wakinga na Wachina wameona watu kama nyinyi wanawatolea copy na kuuza bei chee ili wote tuvae. Wanunuzi wanakuja kimya kimya wanakagua bidhaa na kununua.
 
Rudi ukasome vizuri alafu useme wapi nilipojibu vibaya maana naona umekurupuka, Mkuu wewe kanunue kariakoo hizo ulizozitaja hakuna aliyekukataza kila mtu na maamuzi yake na ukubwa wa mfuko wake, ndomana Wakinga na Wachina wameona watu kama nyinyi wanawatolea copy na kuuza bei chee ili wote tuvae. Wanunuzi wanakuja kimya kimya wanakagua bidhaa na kununua.
Wewe una kiwanda chako ?
 
Mkuu nguo nzuri sanaaaa.. Sema sasa bei Boss Wang

Tuuzie hata 18'000 nije nichukue shati za kazini kumi.
 
Back
Top Bottom