Tunatoa huduma za uchimbaji wa visima

Tunaendelea kuwashukuru wadau wetu kwa kufanya kazi nasi. Karibuni saana ambao bado hamjapata huduma zetu
 
Mungu awabariki mliofanya kazi nasi kwa uaminifu mkubwa. Pia tunaendelea kuwakaribisha ambao wanahitaji huduma zetu
 
Ni siku nyingine tena tunaendelea wakaribish wadau katika huduma yetu hii yenye tija kwa kiasi kikubwa. hudum zetu zinatolewa kwa gharama nafuu saana karibu
 
maandalizi mazuri ya leo ni mafanikio mazur ya kesho . tujifunze kuandaa maisha mazuri yenye furaha kabla hujazeeka
 
Kumekucha salama wakuu. Kazi zinaeneelea kama kawaida. Karibuni saana tuweze kuwahudumia wadau wetu. Mawasiliano 0682276767
 
Kufanikiwa kwa jambo huanza kwa kuchukua hatua na sio kwa kuogopa. Kwa mafanikio yako chukua hatua bila uoga.
 
Kukicha salama tunamshukuru Mungu, kilichobaki ni kuchapa kazi tu.
 
Taarifa sahihi ndio huleta matokeo sahihi jiandae kupata kwanza taarifa sahihi ili ufanikishe jambo lako
 
mvua isitufanye tusaghau kiangazi , bali inatupa muda zuri wa kujiandaa....... bado tunaendelea kutoa huduma kma kawaida. karibuni saana
 
habarini za asubuhi wanajamvi. leo ni siku nyingine tena amabyo mungu ametujalia tunayo nafasi ya kufanya vtu vingine vipya na vikubwa zaidi. karibu kwa swal lolote kuhusiana na uchimbaji wa visima.
 
Uchimbaji wa kisima unategemea mambo yafuatayo:-
Aina ya Matumizi (nyumban,shamba au biashara): mteja husema anataka maji kwa ajili ya kazi gani, hivyo kupelekea uchimbwaji wa kisima kwa kiasi ambacho hukidhi mahitaji au kutoa wastani mzuri.

Uhitaji wa maji kwa lengo husika:: mtu mwenye ekari moja na mwenye ekari kumi hawawez kuwa na uhitaji sawa. Lakini pia anayelima mchicha na anayelima parachichi au matunda kwa ujumla hawawez kuwa na uhitaji sawa.

Majibu ya swali la kwanza:::Baada ya maelezo hayo napenda kukujulisha kwamba kwa parachichi kisima kimoja kikichimbwa kwa kina cha uhitaji wa maji ya mengi (max depth) kisima kimoja kinaweza kumwagilia kati ya ekari 20 mpka 30 kama umwagiliaji utakuwa frequent.

Swali la pili: kisima kukauka ni mpka janga la ukame litokee. Lasivyo labda uchimbiwe kihuni. Mbali na hapo labda litokee jambo ambalo lipo nje ya uwezo wa binadamu kama vile tetemeko.

Asante karibu mkuu
Hicho kisima cha max depth ni cha mita ngapi?
 
Back
Top Bottom