Tunatoa huduma za uchimbaji wa visima

PUNGUZO LA BEI KWA UCHIMBAJI WA VISIMA VIREFU.

Tunatumia mashine za kisasa na huduma zetu ni bora. Tunapomaliza tunahakikisha maji yanatoka na unaanza kutumia.

Pia tunafanya survey ya kujua upatikanaji wa maji kwa bei nafuu kabla ya kuanza kuchimba.

Tunafunga pump pamoja na mabomba kwenye visima.

..Habari yoyote kuhusiana na visima tafadhali usisite kuwasiliana nasi.

TUNA-FLASH VISIMA , NA KUFANYA MAREKEBISHO YOYOTE YANAYOHUSIANA NA KISIMA.

GHARAMA ZA UPIMAJI NI 500,000/= -1,000,000/= (KULINGANA NA UMBALI NA MAZINGIRA)

GHARAMA ZA KUCHIMBA KWA MITA MOJA NI 65000/= - 170,000/= (INATEGEMEA MAZINGIRA NA AINA YA VIFAA VITAKAVYOHUSIKA).

NB: USHAURI NA MAELEZO NI BURE.

KARIBUNI SAANA, POPOTE TUNAFIKA.

MAWASILIANO::: 0682276767 au WhatsApp 0752925925.
View attachment 1692802
vipi mkuu , Pampu yangu imekata mpira na kuzama chini, hapa mkoje...
 
Back
Top Bottom