Tunatoa huduma za uchimbaji wa visima

wadau tunaendelea kuwashukuru ka kuendelea kufanya kazi nasi kwa upendo mkubwa
 
kama ofisi tunaendelea kuangalia uwezkano wa kutoa shukani kwenu wadau kama sehemu ya shukrani zetu kwenu kwa kuendelea kutuamini na kufanya kazi zenye ufanisi. Tunasema asante saana . wakati ukifika tutamba maoni ya kuchagua katika vitu tutakavyovipendekeza. Tunaendelea kuwakaribisha wadau wetu kwa huuma bora
 
Kwa uzoefu wako kisima kimoja kina uwezo wa kumwagilia shamba ukubwa kiasi gani (interm of ekari) mfano shamba la parachichi. Umwagiliaji ambao sio wa matone (drip). Na je hicho kisima ni mazingira gani yanaweza kukifanya kikauka maji
 
Kwa uzoefu wako kisima kimoja kina uwezo wa kumwagilia shamba ukubwa kiasi gani (interm of ekari) mfano shamba la parachichi. Umwagiliaji ambao sio wa matone (drip). Na je hicho kisima ni mazingira gani yanaweza kukifanya kikauka maji
Uchimbaji wa kisima unategemea mambo yafuatayo:-
Aina ya Matumizi (nyumban,shamba au biashara): mteja husema anataka maji kwa ajili ya kazi gani, hivyo kupelekea uchimbwaji wa kisima kwa kiasi ambacho hukidhi mahitaji au kutoa wastani mzuri.

Uhitaji wa maji kwa lengo husika:: mtu mwenye ekari moja na mwenye ekari kumi hawawez kuwa na uhitaji sawa. Lakini pia anayelima mchicha na anayelima parachichi au matunda kwa ujumla hawawez kuwa na uhitaji sawa.

Majibu ya swali la kwanza:::Baada ya maelezo hayo napenda kukujulisha kwamba kwa parachichi kisima kimoja kikichimbwa kwa kina cha uhitaji wa maji ya mengi (max depth) kisima kimoja kinaweza kumwagilia kati ya ekari 20 mpka 30 kama umwagiliaji utakuwa frequent.

Swali la pili: kisima kukauka ni mpka janga la ukame litokee. Lasivyo labda uchimbiwe kihuni. Mbali na hapo labda litokee jambo ambalo lipo nje ya uwezo wa binadamu kama vile tetemeko.

Asante karibu mkuu
 
Uchimbaji wa kisima unategemea mambo yafuatayo:-
Aina ya Matumizi (nyumban,shamba au biashara): mteja husema anataka maji kwa ajili ya kazi gani, hivyo kupelekea uchimbwaji wa kisima kwa kiasi ambacho hukidhi mahitaji au kutoa wastani mzuri.

Uhitaji wa maji kwa lengo husika:: mtu mwenye ekari moja na mwenye ekari kumi hawawez kuwa na uhitaji sawa. Lakini pia anayelima mchicha na anayelima parachichi au matunda kwa ujumla hawawez kuwa na uhitaji sawa.

Majibu ya swali la kwanza:::Baada ya maelezo hayo napenda kukujulisha kwamba kwa parachichi kisima kimoja kikichimbwa kwa kina cha uhitaji wa maji ya mengi (max depth) kisima kimoja kinaweza kumwagilia kati ya ekari 20 mpka 30 kama umwagiliaji utakuwa frequent.

Swali la pili: kisima kukauka ni mpka janga la ukame litokee. Lasivyo labda uchimbiwe kihuni. Mbali na hapo labda litokee jambo ambalo lipo nje ya uwezo wa binadamu kama vile tetemeko.

Asante karibu mkuu
Nashkuru mkuu, nimehifadhi namba zenu kwa matumizi ya baadae
 
Habarini wana jamvi, leo ni siku ya kutoa ushauri bure wa kuhusiana na uchimbaji wa visima. karibu uliza lolote tuweze kujadiliana na upate majibu. karibuni saana wana jamvi. maswali zaidi 0682276767.
Ina wezekana kuchimba kisima na nikatumia water pump machine kwa umwagiliaji usio wa mfumo wa drip?.
 
Water pump unamaanisha nini maana wengi huchanganya mambo
Hiyo hapo
Screenshot_20220204-130431_Google.jpg
 
mwanadome maji ya kisima hupandishwa na semiscible pump kwenda kwenye reservioeur kwahyo itatagemea miundombinu ya eneo lako au ukubwa wa shamba.

Hivyo kuanzia kwenye reservioeur ndio unaweza amua kutumia hicho ulichokisema water pump kusambaza .

Jibu ni kwamba uwezekano upo tena saana tu maana kwanza saiv watu wanatumia vyote drip na non-drip
 
Back
Top Bottom