Tunataka waliogushi nyaraka kwenye kesi ya Lissu washtakiwe

Tunataka waliogushi nyaraka kwenye kesi ya Lissu washtakiwe

Mto wa mbu

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2021
Posts
4,126
Reaction score
9,593
Nipo likizo Tanzania, Leo ilibidi namie nijiunge na wapenda haki wenzangu kwenye kesi ya mweshimiwa Lissu. Leo nilichokiona ni aibu ,aibu aibu ya mwaka

Mahakama ilimpelekea Lissu case bundle gerezani, kumbe Kwa uvivu, ujinga na kujisahau wakajikuta case bundle aliyopewa Lissu ni tofauti na iliyopo mahakamani. Hili haijawai kutokea maana ni forging.
Ata mwakilishi wa ubalozi wa Ujerumani amebaki mdomo wazi wa jinsi mahakama zetu zilivyo takataka.

Nadhani ni Mungu tu yupo na Lissu ndo aliwapiga upofu mawakili wa serikali hadi kuleta case documents ambazo haziendani.

Hili ni kete kubwa kabisa kwa Lissu, Kwa mshangao mkubwa mawakili wa serikali kina Katuga walibaki na mshangao na kujilaumu wasijue Cha kufanya.

Kwa Sheria zetu mtu anayefoji documents za mahakama atahukumiwa kifungo Cha miaka Saba.

Tunataka waliohusika na hii forgery wawajibishwe.

Mto wa Mbu
Tegeta-Dar es Salaam
 
Waongo siku zote huwa hawako smart kuu - mantain uongo wao...

Hutokea mahali tu wakavuruga move yao na kufanya kila kitu kujulikana...

Sijui DPP ataleta utetezi gani kesho kufuta kosa hili...

Maana makosa haya yameonekana wazi kwa mahakama yenyewe, na mawakili wa pande zote na sisi public. Nyaraka zote ni official zina seal (muhuri) wa mahakama...

This is a big U-TURN kwa kesi ni favour of TL..

Salama yao ni DPP haraka sana kesho aje kuliondoa shauri hili. Otherwise, Majaji hawana choice, ni kulifuta shauri na kumwachia huru mshitakiwa na wakati huohuo washitaki wakigeuka kuwa washitakiwa...!!

Kibao kimegeuka...
 
Nipo likizo Tanzania, Leo ilibidi namie nijiunge na wapenda haki wenzangu kwenye kesi ya mweshimiwa Lissu. Leo nilichokiona ni aibu ,aibu aibu ya mwaka

Mahakama ilimpelekea Lissu case bundle gerezani, kumbe Kwa uvivu, ujinga na kujisahau wakajikuta case bundle aliyopewa Lissu ni tofauti na iliyopo mahakamani. Hili haijawai kutokea maana ni forging.
Ata mwakilishi wa ubalozi wa Ujerumani amebaki mdomo wazi wa jinsi mahakama zetu zilivyo takataka.

Nadhani ni Mungu tu yupo na Lissu ndo aliwapiga upofu mawakili wa serikali hadi kuleta case documents ambazo haziendani.

Hili ni kete kubwa kabisa kwa Lissu, Kwa mshangao mkubwa mawakili wa serikali kina Katuga walibaki na mshangao na kujilaumu wasijue Cha kufanya.

Kwa Sheria zetu mtu anayefoji documents za mahakama atahukumiwa kifungo Cha miaka Saba.

Tunataka waliohusika na hii forgery wawajibishwe.

Mto wa Mbu
Tegeta-Dar es Salaam
Kesi ya nyani tumoelekee ngedere?
 
Nipo likizo Tanzania, Leo ilibidi namie nijiunge na wapenda haki wenzangu kwenye kesi ya mweshimiwa Lissu. Leo nilichokiona ni aibu ,aibu aibu ya mwaka

Mahakama ilimpelekea Lissu case bundle gerezani, kumbe Kwa uvivu, ujinga na kujisahau wakajikuta case bundle aliyopewa Lissu ni tofauti na iliyopo mahakamani. Hili haijawai kutokea maana ni forging.
Ata mwakilishi wa ubalozi wa Ujerumani amebaki mdomo wazi wa jinsi mahakama zetu zilivyo takataka.

Nadhani ni Mungu tu yupo na Lissu ndo aliwapiga upofu mawakili wa serikali hadi kuleta case documents ambazo haziendani.

Hili ni kete kubwa kabisa kwa Lissu, Kwa mshangao mkubwa mawakili wa serikali kina Katuga walibaki na mshangao na kujilaumu wasijue Cha kufanya.

Kwa Sheria zetu mtu anayefoji documents za mahakama atahukumiwa kifungo Cha miaka Saba.

Tunataka waliohusika na hii forgery wawajibishwe.

Mto wa Mbu
Tegeta-Dar es Salaam
Labda ni human error inayoelezeka. Zimetofautiana kwa namna ipi?
 
Waongo siku zote huwa hawako smart kuu - mantain uongo wao...

Hutokea mahali tu wakavuruga move yao na kufanya kila kitu kujulikana...

Sijui DPP ataleta utetezi gani kesho kufuta kosa hili...

Maana makosa haya yameonekana wazi kwa mahakama yenyewe, na mawakili wa pande zote na sisi public. Nyaraka zote ni official zina seal (muhuri) wa mahakama...

This is a big U-TURN kwa kesi ni favour of TL..

Salama yao ni DPP haraka sana kesho aje kuliondoa shauri hili. Otherwise, Majaji hawana choice, ni kulifuta shauri na kumwachia huru mshitakiwa na wakati huohuo washitaki wakigeuka kuwa washitakiwa...!!

Kibao kimegeuka...
Ndoto au kweli?
 
You're not dreaming dude...!

It's a fact 100%...

Wanamtandao na wahuni wako mahakamani kuinajisi mahakama, majaji na mahakimu...

Wanalazimisha kuingiza uongo ili wahalalishe hukumu ya kifo...

MUNGU YEHOVA, ANASEMA IT WILL NEVER HAPPEN...

Shimo walilolichimba, sharti waingie wao kuzikwa...
Hi imekula kwao😁 na Lissu amerula nao kiulalo ulalo
 
You're not dreaming dude...!

It's a fact 100%...

Wanamtandao na wahuni wako mahakamani kuinajisi mahakama, majaji na mahakimu...

Wanalazimisha kuingiza uongo ili wahalalishe hukumu ya kifo...

MUNGU YEHOVA, ANASEMA IT WILL NEVER HAPPEN...

Shimo walilolichimba, sharti waingie wao kuzikwa...
Kwa hio una uhakika Mahakama zenu uchwara zinaweza kuifuta kesi hata km bundle imeletwa ya kubumba wakati wenyewe Mahakama wanataka jamaa anyongwe?
 
Mahakama imemuachia Lissu au ndio bado wanamzuwia kihuni tu?.
Hili ni kete kubwa kabisa kwa Lissu, Kwa mshangao mkubwa mawakili wa serikali kina Katuga walibaki na mshangao na kujilaumu wasijue Cha kufanya.

Kwa Sheria zetu mtu anayefoji documents za mahakama atahukumiwa kifungo Cha miaka Saba.

Tunataka waliohusika na hii forgery wawajibishwe.
 
Nipo likizo Tanzania, Leo ilibidi namie nijiunge na wapenda haki wenzangu kwenye kesi ya mweshimiwa Lissu. Leo nilichokiona ni aibu ,aibu aibu ya mwaka

Mahakama ilimpelekea Lissu case bundle gerezani, kumbe Kwa uvivu, ujinga na kujisahau wakajikuta case bundle aliyopewa Lissu ni tofauti na iliyopo mahakamani. Hili haijawai kutokea maana ni forging.
Ata mwakilishi wa ubalozi wa Ujerumani amebaki mdomo wazi wa jinsi mahakama zetu zilivyo takataka.

Nadhani ni Mungu tu yupo na Lissu ndo aliwapiga upofu mawakili wa serikali hadi kuleta case documents ambazo haziendani.

Hili ni kete kubwa kabisa kwa Lissu, Kwa mshangao mkubwa mawakili wa serikali kina Katuga walibaki na mshangao na kujilaumu wasijue Cha kufanya.

Kwa Sheria zetu mtu anayefoji documents za mahakama atahukumiwa kifungo Cha miaka Saba.

Tunataka waliohusika na hii forgery wawajibishwe.

Mto wa Mbu
Tegeta-Dar es Salaam
Na kesi itupiliwe mbali kwa hili kosa la kiufundi.
 
Are you serious?? Kwenye kesi ambayo mtu anaweza nyongwa unasema human error hiyo ni biggest mistake ndo maana tuliokuwa mahakamani tuliona jinsi mawakili wa serikali walivyokuwa wapole na mshangao
A human error doesn’t have to be a minor mistake. It can be fatal. Zimetofautiana content au aina ya document?
 
Back
Top Bottom