Taasisi ya Mifupa-MOI
Member
- Apr 15, 2025
- 91
- 176
TAASISI YA TIBA YA MIFUPA NA UBONGO MUHIMBILI (MOI)
Mgonjwa (pichani) alipokelewa Desemba 17, 2025 akiwa amepata majeraha kichwani, hivyo amepoteza kumbukumbu. Hivi sasa afya yake imetengemaa hivyo tunaomba ndugu, jamaa na marafiki wanaomfahamu wafike Ofisi ya Ustawi wa Jamii MOI chumba namba 113 kwa utambuzi.
Kwa taarifa zaidi
0734 062 125
+255 733 803 104
taasisiyamifupa_MOI