kotinkarwak
JF-Expert Member
- Aug 5, 2010
- 376
- 114
Nitauliza tena, kwani topics za Saccos haziruhusiwi kuongelewa hapa? au ni za JE tu? "Great thinkers forum provided you thinking on the lines of the mods!"
Naona kila thread ninayoanzisha kuulizia threads za JE Saccos (hii sasa ya 3), mods wanaamua kuzitupilia mbali. Juzi nimeuliza swali kwa nini thread ya JE Saccos ambayo ilikuwa humu kwenye ukumbi wa biashara imetolewa, jibu likawa ni, wameamua kuiweka kwenye private forum. Sasa wanaotoa maoni yao kwenye hii public forum mnaonaje kama maoni yenu baadae yanakwanguliwa na kuwa threads kwenye private chats/forums.
Mod, na hii iondoe, kwani natanguliza kwaheri zangu hapa JE Business Forum (ngoja nikachekecheke celebrities forum) kwani sioni sababu ya kufuatilia threads ambazo baadae zinanyofolewa kwani labda mtu amekerwa na jinsi communication imeendelea au kuwekwa kwenye private forums.
Naona kila thread ninayoanzisha kuulizia threads za JE Saccos (hii sasa ya 3), mods wanaamua kuzitupilia mbali. Juzi nimeuliza swali kwa nini thread ya JE Saccos ambayo ilikuwa humu kwenye ukumbi wa biashara imetolewa, jibu likawa ni, wameamua kuiweka kwenye private forum. Sasa wanaotoa maoni yao kwenye hii public forum mnaonaje kama maoni yenu baadae yanakwanguliwa na kuwa threads kwenye private chats/forums.
Mod, na hii iondoe, kwani natanguliza kwaheri zangu hapa JE Business Forum (ngoja nikachekecheke celebrities forum) kwani sioni sababu ya kufuatilia threads ambazo baadae zinanyofolewa kwani labda mtu amekerwa na jinsi communication imeendelea au kuwekwa kwenye private forums.