Ok, sasa excuse ya Tanzania kutokuwa na umeme wa bei nzuri, wa kutosha na kuaminika ni nini? mnataka monopoly na kazi hamuwezi na kila kitu ni visingizio tuu, mna safari ndefu sana nyieWapelekee watu Solar, Huko Bush au hata mtaani uone nani atakupangia bei...., unless otherwise unataka kutumia miundombinu ya Tanesco au unataka kusambaza miundombinu yako utuletee madhara ya kutuunguza na kutuchafulia miji