Henge
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 6,933
- 1,510
tunaonyesha ulinzi wetu na jeshi letu lilivyoimala ili tusivamiwe na wabaya wa ccm! wanaotaka chama chetu kielekee kubaya!ndo maana tukawa maskini, na tutaendelea kuwa maskini. kwasababu hata mawazo yetu ni ya kimaskini..hivi kuadhimisha siku ya uhuru ni kushabikia gwaride, au ni kuangalia jinsi wanajeshi wanavyopiga miguu uku jasho likiwatoka..
nilitegemea siku ya leo vyomba vya habari vingekuwa vinatoa mstakabadhi wa nchi hii yenye ufisadi, kutoa fikra zao kuhusu katiba mpya.. eti kila mtu anasimulia, mizinga 21 inapigwaa..AIBUU..
siku za nyuma, nilikua naangalia maadhimisho ya siku ya uhuru INDIA.
kila mtu alikuwa anangelea mwenendo mzima wa taifa lao, hasa kwenye sector ya ajira na elimu.
vyombo vya habari vilitilia msisitizo sana swala la elimu in-relation na miaka yao ya uhuru. na kuibana serikali iongelee maswala hayo muhimu.
leo hii india wanaongelea nishati ya nyukilia, ambayo itawezesha nchi kupata umeme wa kutosha.
lakini sisi miaka 49 ya uhuru, vyomba vya habari vinaongelea gwaride, wakati hiko kitu kinafanywa kila mwaka...AIBUu
na umeme tunakumbuka kuwa NI ANASA KUTUMIA UMEME!
MAJI ya nini wakati mtachota mitoni!
ELIMU hahahaha mnataka mtutoe madarakani eeeh!