Miaka 62 baada ya kupata uhuru: Ni faida gani tuliyoipata kwa kuwa huru?

Algore

JF-Expert Member
Apr 26, 2020
2,097
3,362
Ni miaka 62 imepita baada ya Tanzania kupata uhuru kamili. Lakini ukiniuliza ni faida gani tumepata kwa kuwa huru, sina jibu.

1.Hatuna uhuru wa kisiasa. Siasa yetu bado inasimamiwa na mabeberu e.g. swala la vyama vingi, demokrasia, etc

2. Hatuna uhuru wa uchumi. Uchumi wetu bado upo mikononi mwa weupe: kwa mfano kwa ndani ya nchi bado uchumi wetu umeshikiliwa na wahindi na waarabu na kwa nje ya nchi mabeberu wale wale tuliowafukuza ndiyo wanaotupangia nini tuwauzie na kwa bei waitakayo.

3. Nchi haina viwanda na hata vikiwepo hatuna utaalamu wa kuvisimamia.

4. Elimu yetu imekufa siyo primary, secondary wala vyuoni kilichobaki ni mzimu wake

5. Afya nayo iko icu. Haishangazi kuona viongozi wetu wakikimbia kwenda Dubai, SA, India, ujerumani etc kupima malaria au uti

6. Rushwa, ufisadi, kulamba asali. Hii ndiyo miradi ambayo watanzania tunaweza kujidai kwamba tumepiga hatua kubwa. Na ninaami ifikapo 2025 tutakuwa wa kwanza Afrika kwa kumiliki miradi mingi ya aina hiyo.

Je, kuna ambao wamesahau hii miradi ya kimkakati??? Tangold, meremeta, kagoda, richmond, iptl, escrow, 1.5bn za jiwe etc.

6. Je, tuna lolote la kuifanyia nchi yetu?
 
Maendeleo yatakuja kwa sisi wenyewe
Kulaumu uchumi umeshikiliwa na Waarabu na Wahindi ni udhalili na kujishusha na kuonyesha udhaifu sana

Huwa nashangaa sana kwa haya maneno
Kwani wao ndio wametukataza kufika walipo? Tena kwenye nchi yetu?

Elimu nayo, matibabu, rushwa, wizi na kutokuaminiana hapo napo Wahindi ndio wametufundisha?

Please hebu tujilaumu wenyewe kwa ujinga wetu
Mbona tajiri wa pili ni Mhindi anaitwa Hinduja
Matajiri wakubwa ni wayahudi

Hapa waarabu wamenunua nusu ya jiji la London na makampuni makubwa wananunua kila kukicha ila hukuti mzungu analalamika kwa sababu wanajua wanakuza uchumi wao

Sisi ni roho mbaya za kimasikini tu
Mtu unaona mpaka wivu wa maendeleo

Sasa kama kodi wanazolipa zinaliwa na wachache why walaumiwe waarabu au kila wakipata wagawe?
 
Ni miaka 62 imepita baada ya Tanzania kupata uhuru kamili. Lakini ukiniuliza ni faida gani tumepata kwa kuwa huru, sina jibu.

1.Hatuna uhuru wa kisiasa. Siasa yetu bado inasimamiwa na mabeberu e.g. swala la vyama vingi, demokrasia, etc

2. Hatuna uhuru wa uchumi. Uchumi wetu bado upo mikononi mwa weupe: kwa mfano kwa ndani ya nchi bado uchumi wetu umeshikiliwa na wahindi na waarabu na kwa nje ya nchi mabeberu wale wale tuliowafukuza ndiyo wanaotupangia nini tuwauzie na kwa bei waitakayo.

3. Nchi haina viwanda na hata vikiwepo hatuna utaalamu wa kuvisimamia.

4. Elimu yetu imekufa siyo primary, secondary wala vyuoni kilichobaki ni mzimu wake

5. Afya nayo iko icu. Haishangazi kuona viongozi wetu wakikimbia kwenda Dubai, SA, India, ujerumani etc kupima malaria au uti

6. Rushwa, ufisadi, kulamba asali. Hii ndiyo miradi ambayo watanzania tunaweza kujidai kwamba tumepiga hatua kubwa. Na ninaami ifikapo 2025 tutakuwa wa kwanza Afrika kwa kumiliki miradi mingi ya aina hiyo.

Je, kuna ambao wamesahau hii miradi ya kimkakati??? Tangold, meremeta, kagoda, richmond, iptl, escrow, 1.5bn za jiwe etc.

6. Je, tuna lolote la kuifanyia nchi yetu?
Kuwepo kwako hakuna faida yoyote kitaifa, heri ungekuwa hujazaliwa au ungekufa kwa kifaduro utotoni tu.
 
Wa kulaumiwa ni CCM kwani ndiyo wamekuwa madarakani kwa miaka yote hiyo
CCM haiusiki hata kidogo kwa nchi yako kuwa maskini.

Jiulize kwa nini nchi zote za kusini mwa jangwa la Sahara mnafanana kila kitu?

Msipobadilisha tamaduni zenu na kuondoa ujinga hata Yesu arudi hawezi waletea maendeleo.
 
Ni miaka 62 imepita baada ya Tanzania kupata uhuru kamili. Lakini ukiniuliza ni faida gani tumepata kwa kuwa huru, sina jibu.

1.Hatuna uhuru wa kisiasa. Siasa yetu bado inasimamiwa na mabeberu e.g. swala la vyama vingi, demokrasia, etc

2. Hatuna uhuru wa uchumi. Uchumi wetu bado upo mikononi mwa weupe: kwa mfano kwa ndani ya nchi bado uchumi wetu umeshikiliwa na wahindi na waarabu na kwa nje ya nchi mabeberu wale wale tuliowafukuza ndiyo wanaotupangia nini tuwauzie na kwa bei waitakayo.

3. Nchi haina viwanda na hata vikiwepo hatuna utaalamu wa kuvisimamia.

4. Elimu yetu imekufa siyo primary, secondary wala vyuoni kilichobaki ni mzimu wake

5. Afya nayo iko icu. Haishangazi kuona viongozi wetu wakikimbia kwenda Dubai, SA, India, ujerumani etc kupima malaria au uti

6. Rushwa, ufisadi, kulamba asali. Hii ndiyo miradi ambayo watanzania tunaweza kujidai kwamba tumepiga hatua kubwa. Na ninaami ifikapo 2025 tutakuwa wa kwanza Afrika kwa kumiliki miradi mingi ya aina hiyo.

Je, kuna ambao wamesahau hii miradi ya kimkakati??? Tangold, meremeta, kagoda, richmond, iptl, escrow, 1.5bn za jiwe etc.

6. Je, tuna lolote la kuifanyia nchi yetu?
Miaka 62 ya uhuru bado tuna mtu mpumbavu kama wewe uliyekosa uzalendo kwa nchi yako.
 
Ni miaka 62 imepita baada ya Tanzania kupata uhuru kamili. Lakini ukiniuliza ni faida gani tumepata kwa kuwa huru, sina jibu.

1.Hatuna uhuru wa kisiasa. Siasa yetu bado inasimamiwa na mabeberu e.g. swala la vyama vingi, demokrasia, etc

2. Hatuna uhuru wa uchumi. Uchumi wetu bado upo mikononi mwa weupe: kwa mfano kwa ndani ya nchi bado uchumi wetu umeshikiliwa na wahindi na waarabu na kwa nje ya nchi mabeberu wale wale tuliowafukuza ndiyo wanaotupangia nini tuwauzie na kwa bei waitakayo.

3. Nchi haina viwanda na hata vikiwepo hatuna utaalamu wa kuvisimamia.

4. Elimu yetu imekufa siyo primary, secondary wala vyuoni kilichobaki ni mzimu wake

5. Afya nayo iko icu. Haishangazi kuona viongozi wetu wakikimbia kwenda Dubai, SA, India, ujerumani etc kupima malaria au uti

6. Rushwa, ufisadi, kulamba asali. Hii ndiyo miradi ambayo watanzania tunaweza kujidai kwamba tumepiga hatua kubwa. Na ninaami ifikapo 2025 tutakuwa wa kwanza Afrika kwa kumiliki miradi mingi ya aina hiyo.

Je, kuna ambao wamesahau hii miradi ya kimkakati??? Tangold, meremeta, kagoda, richmond, iptl, escrow, 1.5bn za jiwe etc.

6. Je, tuna lolote la kuifanyia nchi yetu?
Faida kubwa tuliyopata ni kukomaa na lugha ya Mkoloni na bado tumeshindwa kuongea lugha yake ambapo hadi Maprofesa na PhD holders kama akina Ndalichako hawawezi kuongea lugha waliyotumia katika harakati zao zote za shule.
 
Faida kubwa tuliyopata ni kukomaa na lugha ya Mkoloni na bado tumeshindwa kuongea lugha yake ambapo hadi Maprofesa na PhD holders kama akina Ndalichako hawawezi kuongea lugha waliyotumia katika harakati zao zote za shule.n


gine waliulizwa kwa nini sisi ni maskini

Faida kubwa tuliyopata ni kukomaa na lugha ya Mkoloni na bado tumeshindwa kuongea lugha yake ambapo hadi Maprofesa na PhD holders kama akina Ndalichako hawawezi kuongea lugha waliyotumia katika harakati zao zote za shule.
Na faida nyingine ni kutokujua umasikini wetu unasababishwa na nini (sifa zimuendee dhaifu )
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom