Tunapoelekea CUF ndiyo watatamani ukawa isife...

Tunapoelekea CUF ndiyo watatamani ukawa isife...

sirjohn

JF-Expert Member
Joined
Aug 6, 2014
Posts
767
Reaction score
679
hata wao wanajua na ndiyo ukweli tangu cuf ianzishwe haijawahi pata mafanikio makubwa kama mwaka huu.

ndani na nje ya cuf wengi waliamini cuf inakufa na cdm inaimalika lakini ukweli umejulikana

cdm waliwekeza sana kuliko chama chochote cha upinzani hata zaid ya ccm lakini mavuno yao hayakuwa mazuri japo wamepata na kupoteza majimbo yao na watu wao mhimu

ukawa hautakufa kwani ulikuwa ufe kwa sababu za cuf but sasa unaimalika kwa sababu cuf wamejua umhimu wa kuungana... hongereni cuf majimbo mlioachiwa mmeyatendea haki
 
Ni kweli mkuu.... Ujio wa the Don... the King... mzee wa maamuzi magumu EL uliwafanya ccm kupanic.... wakawekeza sana bara kwenye dola na kuisahau zenj na sasa imewaponyoka.... ukawa daima....
 
Kwa mara nyingine UKAWA kuwa chama kikuu cha upinzani
 
Kwenye kichwa cha habari kiswahili kimekosewa. Unaposema "..... Cuf haitotamani ukawa isife..." Unamaanisha cuf inatamani ukawa ife. Kiusahihi ungeandika ".... Cuf haitotamani ukawa ife.....

Nikirudi kwenye mada ni kweli cuf kupata wabunge 10 bara ni mavuno makubwa kuliko chadema ilopata wabunge 35.

Ukijumlisha na wabunge kutoka Znz cuf INA wabunge 23.

Nyongeza ya cuf imezidi ya chadema kwa asilimia kubwa
 
Chadema nguvu yao ilijikita sana kwenye Urais.
 
Chadema nguvu yao ilijikita sana kwenye Urais.

Hapo ndipo CUF walipocheza vizuri. CDM walikuwa wanaota urais tu. Akina Mbowe wakiwazia uPM an akina Lisu uwaziri. CUF kwa kujua kwenye urais hawapo, nguvu kubwa ikawekwa kwenye ubunge na madiwani.
 
Kwenye kichwa cha habari kiswahili kimekosewa. Unaposema "..... Cuf haitotamani ukawa isife..." Unamaanisha cuf inatamani ukawa ife. Kiusahihi ungeandika ".... Cuf haitotamani ukawa ife.....

Nikirudi kwenye mada ni kweli cuf kupata wabunge 10 bara ni mavuno makubwa kuliko chadema ilopata wabunge 35.

Ukijumlisha na wabunge kutoka Znz cuf INA wabunge 23.

Nyongeza ya cuf imezidi ya chadema kwa asilimia kubwa

watusaidie waswahili ila mim naona kichwa kiko sahihi...mkuu wabunge wa cdm ni wengi hata kama cuf ikiunganisha wa zeji
 
Chadema nguvu yao ilijikita sana kwenye Urais.

ni kweli ila tunakoelekea kwa yule anayedhani ccm itaimalika asahau... hawa jamaa wakiwa pamoja na seif apewe nchi zenji basi uchaguzi ujao tegemea makubwa tena
 
Pia imeonyesha lipumba alikuwa mzigo tu ndani ya Chama.
Mzee taslima ameoneka kukaimu vizuri nafasi ya uenyekiti, pia hekima yake ni kubwa sana sio mkurupukaji. Wajenge chama tz bara wasiishie ukanda wa pwani
 
Pia imeonyesha lipumba alikuwa mzigo tu ndani ya Chama.
Mzee taslima ameoneka kukaimu vizuri nafasi ya uenyekiti, pia hekima yake ni kubwa sana sio mkurupukaji. Wajenge chama tz bara wasiishie ukanda wa pwani

tatizo la lipumba ni sawa na tatizo la dr slaa wako ligid sana, wanadhani wao tu.
 
tatizo la lipumba ni sawa na tatizo la dr slaa wako ligid sana, wanadhani wao tu.
Wa Tz kwa sasa ni waelewa... wanawajua hao jamaa wawili ni nini kilitokea.... wanajua pia mchakato mzima wa uchaguzi umeendaje.... wamekaa kimya na roho zinawauma... ipo siku watawaadhibu hawa watawala ..... 2020 wijana watakuwa wengi zaidi ya sasa na wanajua nini kimetokea.... kura za maruhani zitazidi pungua with tym na graph ya kura zao inapungua....
 
Hapo ndipo CUF walipocheza vizuri. CDM walikuwa wanaota urais tu. Akina Mbowe wakiwazia uPM an akina Lisu uwaziri. CUF kwa kujua kwenye urais hawapo, nguvu kubwa ikawekwa kwenye ubunge na madiwani.

Ongea kwa takwimu mkuu. Niambie majimbo waliyopoteza CDM?
 
hata wao wanajua na ndiyo ukweli tangu cuf ianzishwe haijawahi pata mafanikio makubwa kama mwaka huu.

ndani na nje ya cuf wengi waliamini cuf inakufa na cdm inaimalika lakini ukweli umejulikana

cdm waliwekeza sana kuliko chama chochote cha upinzani hata zaid ya ccm lakini mavuno yao hayakuwa mazuri japo wamepata na kupoteza majimbo yao na watu wao mhimu

ukawa hautakufa kwani ulikuwa ufe kwa sababu za cuf but sasa unaimalika kwa sababu cuf wamejua umhimu wa kuungana... hongereni cuf majimbo mlioachiwa mmeyatendea haki

= inaimarika
= unaimarika

Ukawa umekuwa ukiwa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom