Nipo mkuu, sema Utumishi mwaka huu naona wamekuwa overwhelmed.. yaan watu waliomba Ajira Hadi kuitwa Interview ni zaidi ya miezi mi4 πππ.
Sasa Kuna watu kipindi kile Cha kuomba walishaanza kuomba notes na kupiga msuli Sasa hv wanajikuta wajinga waoππ
Fresh mkuu, huu mwezi July unaokuja ni mwezi wa interview utumishi, wale wa TRA wajiandae from now.
Nawapenyezea hyo kama ulishagive up kupitia madesa yako ya class basi rudi tena class sasaπ