LINGWAMBA
JF-Expert Member
- Sep 30, 2023
- 419
- 946
Kama kichwa cha habari kinavyosema kama kuna mtu amewahi kufanya interview ya trade officer 2 naomba kujua notice gani za kusoma ili nianze kujiandaa maana nimepoteza muda mwingi kujianda na interview za TRA matokeo yake customs tukatolewa maswali ya tax wakati hata hiyo tax sijawahi kuisoma.
Sasa nataka nijiandae na hiyo interview ya trade officer 2
Sasa nataka nijiandae na hiyo interview ya trade officer 2