Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zile pepa huruhusiwi kutoka nazo wala kupiga picha...labda tu maswali mtu ayaandike hapa kama anayakumbukaKama kuna mtu yeyote humu anazo past papers walizofanya kwenye interview za TRA hasa TAX MANAGEMENT OFFICERS zilizopita anitumie au aziweke hapa.plz
Ila wanafana kitu mbaya kwa nn wasiruhusu watu watokenayo kwa matumizi ya baadae..?🤔🤔Zile pepa huruhusiwi kutoka nazo wala kupiga picha...labda tu maswali mtu ayaandike hapa kama anayakumbuka
Asa umeanza msuli leo,mpaka uje kuitwa interview si utakua ushasahau mkuu?Kama kuna mtu yeyote humu anazo past papers walizofanya kwenye interview za TRA hasa TAX MANAGEMENT OFFICERS zilizopita anitumie au aziweke hapa.plz
Kama kuna mtu yeyote humu anazo past papers walizofanya kwenye interview za TRA hasa TAX MANAGEMENT OFFICERS zilizopita anitumie au aziweke hapa.plz
Asante bossMkuu watafute watu au mtu ambaye anajua mambo ya kodi upige nae story akupe ulewa wa mambo muhimu kuhusu kodi na TRA
Ukielewa vyema hutohitaji kukariri maswali na majibu! Lakini hakuna ubaya kujua maswali yanayo ulizw mara kwa mara kwenye usaili wao!