zumbemkuu
JF-Expert Member
- Sep 11, 2010
- 10,831
- 8,621
Mkuu nchi ilikaa karibia wiki mbili kama inamsiba, hata siku aliyoapishwa wa CCM wenyewe waliosombwa na malori kwenda uwanjani hawakuwa na furaha kabisa. Mpaka siku ile Sizonje alipoanza yale maigizo ya kutembelea Hazina na MuhimbiliMimi nakumbuka October 25, 2015 nchi ilipigwa na butwaa baada ya kutangazwa eti kashinda.
nchi haikuwa na furaha..mikoa yote Tanzania nzima ilikuwa kama msiba.
I highly doubt
Yes..upinzani waliweka mtu dhaifu..lakini huyu bwana hakumshinda huyo mtu dhaifu.
Na anayoyafanya sasa ni matendo dhahiri ya mtu aliyekataliwa