Tunaomuunga Mkono Magufuli Hatufurahishwi na hizi "Distractions"

Uongo wa kiwango cha Phd huu! Mungu anakuona lakini! Masikini ya Mungu wamechota akili zako zote!
Eti dikteta uchwara amepatikana kwa sababu ya CHADEMA! Hahahahaha lol!

Si kweli, Magufuli amepatikana kwa sababu ya CHADEMA.
 
Mzee Mwanakijiji,

..hivi hizi distractions hukutegemea kuwa zitatokea?

..katika kumfuatilia kwako Magufuli, did you expect ataongoza/atatenda tofauti na anavyotenda sasa hivi?

..specifically, hukutegemea kwamba kutakuwa na misuguano isiyo na tija kati yake na vyama vya upinzani na yeyote yule anayetofautiana naye?
 
Tittle ya mwanakijiji inaonesha ama ana kiburi na kudhani yeye ana mamlakaya kufikiri kwa niaba ya watu wengine au anasukuma ajenda aliyotumwa na hao wanaomtumaga kulingana na upepo. Kama una uwezo kusoma katikati ya misitari na kutafakari, utafanya hivyo badala ya kupelekwa pelekwa na 'makuwadi wa tumbonjaa'
 
Si kweli, Magufuli amepatikana kwa sababu ya CHADEMA.
Kuna ukweli hapa. Chadema waliiaminisha jamii kuwa Lowassa ni mchafu, ccm ikagawanyika na ikaingia mazima. Wapo waliokuwa wakiogopa tutamnadi vipi lowasa ikiwa ccm tutampitisha. Lowassa akakomaa akaimarisha mtandao wake. Na walioaminishwa kuwa lowasa fisadi nao wakaunda mtandao wao. Kukawa na mitandao miwili ndani ya ccm. Fahari wawili wakapigana, matokeo yake "Mungu kosa na mimi kosa". Kweli kabisa Rais wa sasa ni zao la Chadema. Tulie tu hapa hadi 2025.
 
Mwanakijiji, I am sure you have heard the term "confidently incompetent"? That's what Magufuli is. He is also corrupt, although not as corrupt as the people he's trying to fight. Binafsi ninaamini incompetence ni mbaya kwa maendeleo ya jamii kuliko corruption, japo kwa ujumla vyote ni vibaya.

Think about this, the United States is also a corrupt country. I know this firsthand, I have lived there. But the U.S. is developed because it is often led by people who know what they are doing (competent). Kumpasua mgonjwa kichwa na kuanza kumfanyia operation ya ubongo badala ya mguu ni hatari kuliko kuchelewa kumtibu huyo mgonjwa tatizo lake halisi la mguu kwasababu unataka rushwa.

You, Mwanakijiji, is the one who is distracting your audience from the truth. The fact is Magufuli is not being distracted by anything. Yanayotokea yasingetokea kama asingetaka yatokee. Isitoshe, mara kadhaa kwa kinywa chake ametoa kauli zinazothibitisha kwamba ana support wanayofanya wasaidizi wake.
 
M.M makala nzuri lakini naona unampigia mbuzi gitaa acheze reggae.

Raisi wetu amejenga chuki kwenye moyo wake yeye si wakuwasaidia wananchi tena, sasa hivi ni wananchi kumsaidia raisi.

Nakuunga mkono tunahitaji raisi atakayeamsha spirit ya wananchi kufanya kazi kwa kujitolea. Vijana waone fahari kujitolea kwaajili ya taifa lao na si kama ilivyo sasa tunagawanywa wao wanamadaraka na wapinzani ni pumbavu tu hawana madaraka.

Mwisho kama nilivyosema awali raisi ana chuki moyoni mwake. Hii ni ngumu kuondoka kwasababu akisema ajishushe atadhani watu watamwona dhaifu. Hii ni shida kubwa. Kipindi kingine cha uchaguzi tuangalie sana kiongozi atakayetuunganisha tuone fahari ndani ya nchi yetu hata kama kiongozi huyu hana umaarufu tumchaguwe kwa weledi, msimamo na upendo wake kwa wananchi.
Mungu akulinde @Mwelewa,kifupi umenifanya nikumbuke nina umri gani siku ya leo
 
Uongo wa kiwango cha Phd huu! Mungu anakuona lakini! Masikini ya Mungu wamechota akili zako zote!
Eti dikteta uchwara amepatikana kwa sababu ya CHADEMA! Hahahahaha lol!

kuukataa ukweli hakuufanyi ukweli usiwe ukweli. Hadi utakapoutazama ukweli ndio utajua ni kwanini Magufuli ni matokeo ya maamuzi ya CHADEMA siyo ya CCM.
 
Acha kutufanya watu wapumbavu bhanaa! Peleka huu ujinga wako mtaa wa Lumumba siyo humu. Kwanini umeamua kujitoa ufahamu kiasi hiki!? Duh! Njaa mbaya sana.

kuukataa ukweli hakuufanyi ukweli usiwe ukweli. Hadi utakapoutazama ukweli ndio utajua ni kwanini Magufuli ni matokeo ya maamuzi ya CHADEMA siyo ya CCM.
 
Acha kutufanya watu wapumbavu bhanaa! Peleka huu ujinga wako mtaa wa Lumumba siyo humu. Kwanini umeamua kujitoa ufahamu kiasi hiki!? Duh! Njaa mbaya sana.
Matusi yako hayafanyi hoja yako kuwa na nguvu; yanathibitisha tu uwezo wako wa kutunga hoja. Ngoja nikuulize swali - sitegemei kama utaweza kulijibu najaribu tu - kama CHADEMA isingemchukua Lowassa unafikiri nini kingetokea a. kwa Lowassa na B. kwa CCM?
 
Matusi yako hayafanyi hoja yako kuwa na nguvu; yanathibitisha tu uwezo wako wa kutunga hoja. Ngoja nikuulize swali - sitegemei kama utaweza kulijibu najaribu tu - kama CHADEMA hukua Lowassa unafikiri nini kingetokea a. kwa Lowassa na B. kwa CCM?
Mkuu acha kujitoa ufahamu bana EL asingekuja huku ccm wangetupiga nje ndani si kheri tulipunguza uharamia wao kwa % kadhaa
 
Mie sina uwezo wa kutunga hoja za kipumbavu kama za kwako eti kupatikana kwa dikteta uchwara sababu ni CHADEMA! Huyu utendaji wake siku zote ulikuwa bomu. Muongo na fisadi pia hata CAG katika ripoti zake aliandika kuhusu uongo na ufisadi wake. Halafu leo bila woga wala aibu unaandika pumba humu kuhusu huyu dikteta uchwara! Kawaambie waliochota akili, hekima na busara zako za miaka ya nyuma wakurudishie maana sasa unasikitisha na kutia aibu kuhusu utetezi wako wa huyu uchwara.

Matusi yako hayafanyi hoja yako kuwa na nguvu; yanathibitisha tu uwezo wako wa kutunga hoja. Ngoja nikuulize swali - sitegemei kama utaweza kulijibu najaribu tu - kama CHADEMA isingemchukua Lowassa unafikiri nini kingetokea a. kwa Lowassa na B. kwa CCM?
 
Mbona uchumi watu hamuuzungumzii? serikali inabana private secta kama vile kuna cold war..private sector ndio zinazooajiri na kulipa kodi, private sector ni kama inauawa na awamu hii ya tano hadi watu wanatamani heri ufisadi urudi
makusanyo makubwa ya TRA wameona sio sustainable kwa hii staili, ndio maana wamepunguza mbwembwe za kutangaza. . ila hili halipewi mjadala kama hayo mengine?

Tough times ahead as govt unveils more spending cuts
Mkuu humu kuna vilaza wengi tu,habari za uchumi hawawezi kabisa kugusa,we andika thread sema Makonda kafuta jina kwenye cheti,ndani ya saa moja,utapata page 30 lakini sio uchumi na mambo mengine amabayo yanahitaji kunoa bongo
 
Mbona uchumi watu hamuuzungumzii? serikali inabana private secta kama vile kuna cold war..private sector ndio zinazooajiri na kulipa kodi, private sector ni kama inauawa na awamu hii ya tano hadi watu wanatamani heri ufisadi urudi
makusanyo makubwa ya TRA wameona sio sustainable kwa hii staili, ndio maana wamepunguza mbwembwe za kutangaza. . ila hili halipewi mjadala kama hayo mengine?

Tough times ahead as govt unveils more spending cuts
Uchumi imara hujengwa na Utawala bora. Turekebishe kwanza utawala then uchumi utajiset wenyewe.
 
Mkuu humu kuna vilaza wengi tu,habari za uchumi hawawezi kabisa kugusa,we andika thread sema Makonda kafuta jina kwenye cheti,ndani ya saa moja,utapata page 30 lakini sio uchumi na mambo mengine amabayo yanahitaji kunoa bongo
Utawala bora kwanza ndo tufuate uchumi. Huwezi kuzungumzia uchumi imara huku rais anaua sekta binafsi hiyo ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Kiufupi huyu bwana hakujiandaa ndio maana hata alipokuwa anatoa ahadi za kujenga viwanda hakujua ugumu wake.matokeo yake kaishia kupambana na Chadema
 
Mijitu ya namna hii ndio mnafanya nchi hii haiendelei... Hivi shida ni kumpa MTU nchi au kuendesha nchi kwa mujibu Wa sheria na katiba kama kiapo kinavyosema?
Njaa inakusumbua sio bure. Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Mtanyooka tu miaka hii hamchomoki mlizoea vya kunyonga.
 
Utamzungumziaje Magufuli bila kuitaja CCM? Magufuli asingepatikana kama si CCM na cha kustaajabisha pamoja na kuwa wanaona huyu jamaa alivyoshindwa kuongoza nchi hao hao MACCM wameamua kukaa kimya na kuangalia pembeni huku nchi ikizidi kwenda mrama. Kuna watu wachache ndani ya MACCM kama Mzee RUKHSA, Warioba na Butiku ambao waliamua kujitoa hadharani na kuuponda uongozi wa Magufuli lakini waliobaki wengine wote wako kimyaaaa kabisa. Magufuli ni CCM huwezi kumjadili Magufuli bila kuijadili CCM na vice versa.

Hao uliotaja ndio nambari wani walioshindwa uongozi. JF ina wengi wana njaa hata wakikaa nchi za nje hawawzi kuwa na fikra pevu. Ati uathubutu hata kuwataja kina Warioba my goodness me what type of leaders were they? Total failures.
 
Back
Top Bottom