unaujua utawala bora au unafuata mkumbo?Utawala bora kwanza ndo tufuate uchumi. Huwezi kuzungumzia uchumi imara huku rais anaua sekta binafsi hiyo ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
unaujua utawala bora au unafuata mkumbo?Utawala bora kwanza ndo tufuate uchumi. Huwezi kuzungumzia uchumi imara huku rais anaua sekta binafsi hiyo ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
Huna unalojua low IQ kujibizana na wewe ni kupoteza muda wanguunaujua utawala bora au unafuata mkumbo?
Utawala bora kwanza ndo tufuate uchumi. Huwezi kuzungumzia uchumi imara huku rais anaua sekta binafsi hiyo ni sawa na kutwanga maji kwenye kinu.
Acha ubwege wewe kwa hiyo dereva hata akipiga makumbalala abiria mumchekee tuUkitaka kumuunga mkono Magufuli wewe muunge kwa hali yeyote ila kama unaona ni ngumu binafsi naona ni bora ukaachana naye kabisa ILI UWE NA AMANI.
- Tatizo kubwa la binadamu ni moja; WAMESHAKUKABIDHI USUKANI UENDESHE GARI, LAKINI HAWAISHI KUKUELEKEZA KILA WAKATI NAMNA YA KULIENDESHA GARI LENYEWE - NA KIBAYA ZAIDI Ukiwasikiliza na mkakwama LAWAMA ZOTE UTAPEWA WEWE.
- Ukishamkabidhi USUKANI Mwacheni aendeshe anavyojua ili hata AKIKWAMA Unazo HAKI ZOTE ZA KUMLAUMU MPAKA KIAMA
Sawa chief tuweke pembeni mengine yoote uliyoongea...Raisi Magufuli siyo Superhuman ni Binadamu kama Binadamu wengine hivyo hawezi kuwepo kila mahali na kutimiza kila hitaji la kila Binadamu, kama hamumkubali kuna njia ya kufanya hivyo nayo ni 2020 msimrudishe Ikulu, vinginevyo kaeni pembeni na mwachieni Uwanja na Timu yake wafanye yale wanayaoona yanafaa na kama mnaona ni Udikteta au huo mnaouita Utawala ya Sheria haufatwi basi Watanzania tutaamua 2020, lkn binafsi namuunga mkono Raisi Magufuli na kwanza ukiniuliza mimi hawa wanaojiita Upinzani siyo watu wa kuwachekea kabisa, ni watu wabaya, kama nikikuuliza
Ben Saanane yuko wapi? Na kwa nini hamumuongelei tena? Kwa nini mlisema Serikali yetu imemuua na kufukia maiti yake Mto Ruvu halafu leo muko kimya? Hizo shutuma zilikuwa na lengo gani? Mlitembea kwa Wazungu Ulaya kuwaambia kwamba Serikali yetu imemuua Ben Saanane, Je ninyi ni watu wazuri wa kuchekewa chekewa? Raisi Magufuli bana hapo hapo usirudi hata milimeta 1 nyuma, nchi haijengwi kwa ulele mama, Historia itakuwa hakimu!
Wapo wafanyakazi wa serikali katika proffessional levels wanataka kuacha kazi serikalini...Mbona uchumi watu hamuuzungumzii? serikali inabana private secta kama vile kuna cold war..private sector ndio zinazooajiri na kulipa kodi, private sector ni kama inauawa na awamu hii ya tano hadi watu wanatamani heri ufisadi urudi
makusanyo makubwa ya TRA wameona sio sustainable kwa hii staili, ndio maana wamepunguza mbwembwe za kutangaza. . ila hili halipewi mjadala kama hayo mengine?
Tough times ahead as govt unveils more spending cuts
Duh sasa na yeye tumuamini vipi kama waliomtangulia ni kikwazo kwake??Mzee Mwanakijiji
Hoja uliyoweka ni muhimu sana kuijadili, lakini kama unavyofahamu hoja kama hizi hakuna anayetaka kuzijadili. Kama unavyofahamu mimi sina chama lakini napenda kuona Tanzania yenye maendeleo chanya ya kutufikisha kwenye neema. Kasi anayokwenda nayo JPM nimeipenda sana, lakini hawa wapinzani uchwara wanataka kumchelewesha na yeye anayo meno makali ya kuwang'ata na watanyooka tu.
JPM ameandaa progamme yake kwa miaka kumi inayokuja, panapo majaliwa hawa wote pimbi wanaopiga kelele watakuwa wanalialia kutaka aongeze muda. Believe me hatua ambayo atakuwa amepiga itakuwa ni aibu kubwa sana kwa marais watatu waliomtangulia na hawa ni kikwazo kikubwa sana hivi sasa. Kama wakileta fyoko asiwape marupurupu yao ambayo yanawafanya wawe na kiburi.
Hatuwezi kuwapa nchi hawa wapinzani uchwara wanaoongozwa na cartel ya wezi wa kimataifa.
Brother maisha ni elimu na ndiyo maana vitabu vya dini vinasema tafuteni elimu....Ukitaka kumuunga mkono Magufuli wewe muunge kwa hali yeyote ila kama unaona ni ngumu binafsi naona ni bora ukaachana naye kabisa ILI UWE NA AMANI.
- Tatizo kubwa la binadamu ni moja; WAMESHAKUKABIDHI USUKANI UENDESHE GARI, LAKINI HAWAISHI KUKUELEKEZA KILA WAKATI NAMNA YA KULIENDESHA GARI LENYEWE - NA KIBAYA ZAIDI Ukiwasikiliza na mkakwama LAWAMA ZOTE UTAPEWA WEWE.
- Ukishamkabidhi USUKANI Mwacheni aendeshe anavyojua ili hata AKIKWAMA Unazo HAKI ZOTE ZA KUMLAUMU MPAKA KIAMA
Kwa hazina kukosa fedha za miradi ya maendeleo.Kumtegemea huyu jamaa akuvushe ni hadithi za kufikirika!Mzee Mwanakijiji
Hoja uliyoweka ni muhimu sana kuijadili, lakini kama unavyofahamu hoja kama hizi hakuna anayetaka kuzijadili. Kama unavyofahamu mimi sina chama lakini napenda kuona Tanzania yenye maendeleo chanya ya kutufikisha kwenye neema. Kasi anayokwenda nayo JPM nimeipenda sana, lakini hawa wapinzani uchwara wanataka kumchelewesha na yeye anayo meno makali ya kuwang'ata na watanyooka tu.
JPM ameandaa progamme yake kwa miaka kumi inayokuja, panapo majaliwa hawa wote pimbi wanaopiga kelele watakuwa wanalialia kutaka aongeze muda. Believe me hatua ambayo atakuwa amepiga itakuwa ni aibu kubwa sana kwa marais watatu waliomtangulia na hawa ni kikwazo kikubwa sana hivi sasa. Kama wakileta fyoko asiwape marupurupu yao ambayo yanawafanya wawe na kiburi.
Hatuwezi kuwapa nchi hawa wapinzani uchwara wanaoongozwa na cartel ya wezi wa kimataifa.
Sijui kwanini wapuuzi na wapumbavu kama nyie bado mpo katika zama hizi. Watu wanajadili vitu substantial wewe unaleta mipasho? Poor youNjaa inakusumbua sio bure. Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Mtanyooka tu miaka hii hamchomoki mlizoea vya kunyonga.
Baada ya safari kuanza kumbe mlevi (madaraka) haki haikutendeka katika makabidhiano. Haki huinua taifa nduguKAMA HUMUAMINI DEREVA, USIMKABIDHI GARI LAKO
Ndoto hizoMzee Mwanakijiji
Hoja uliyoweka ni muhimu sana kuijadili, lakini kama unavyofahamu hoja kama hizi hakuna anayetaka kuzijadili. Kama unavyofahamu mimi sina chama lakini napenda kuona Tanzania yenye maendeleo chanya ya kutufikisha kwenye neema. Kasi anayokwenda nayo JPM nimeipenda sana, lakini hawa wapinzani uchwara wanataka kumchelewesha na yeye anayo meno makali ya kuwang'ata na watanyooka tu.
JPM ameandaa progamme yake kwa miaka kumi inayokuja, panapo majaliwa hawa wote pimbi wanaopiga kelele watakuwa wanalialia kutaka aongeze muda. Believe me hatua ambayo atakuwa amepiga itakuwa ni aibu kubwa sana kwa marais watatu waliomtangulia na hawa ni kikwazo kikubwa sana hivi sasa. Kama wakileta fyoko asiwape marupurupu yao ambayo yanawafanya wawe na kiburi.
Hatuwezi kuwapa nchi hawa wapinzani uchwara wanaoongozwa na cartel ya wezi wa kimataifa.
Uchumi imara hujengwa na Utawala bora. Turekebishe kwanza utawala then uchumi utajiset wenyewe.
Hata ukicheza ngoma kwenye maji bado watasema unawatimulia vumbi, ila naamini inchi yetu itatukia na maisha yatakuwa very cheap kisha watafumba midomo yao na kutafuta mengine ili kutia kasolo tu.Ukitaka kumuunga mkono Magufuli wewe muunge kwa hali yeyote ila kama unaona ni ngumu binafsi naona ni bora ukaachana naye kabisa ILI UWE NA AMANI.
- Tatizo kubwa la binadamu ni moja; WAMESHAKUKABIDHI USUKANI UENDESHE GARI, LAKINI HAWAISHI KUKUELEKEZA KILA WAKATI NAMNA YA KULIENDESHA GARI LENYEWE - NA KIBAYA ZAIDI Ukiwasikiliza na mkakwama LAWAMA ZOTE UTAPEWA WEWE.
- Ukishamkabidhi USUKANI Mwacheni aendeshe anavyojua ili hata AKIKWAMA Unazo HAKI ZOTE ZA KUMLAUMU MPAKA KIAMA
Haki ni nini ?Baada ya safari kuanza kumbe mlevi (madaraka) haki haikutendeka katika makabidhiano. Haki huinua taifa ndugu
Mnaonyooka ni nyie mliozoea kuishi kwa ass kissing kwa watawala.. Wengine tunajitambua hatulelewi kwa buku saba na vyeo vya kifala.. Endeleeni kukiss ass tu!Njaa inakusumbua sio bure. Khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee Mtanyooka tu miaka hii hamchomoki mlizoea vya kunyonga.
Anachukia baadhi ya rushwa na baadhi ya ufisadi. Chama chake kiligawa rushwa ya Mil 10 kwa Wabunge wake na yeye anajua hiloHicho unachotaka ndicho Raisi Magufuli anafanya kila siku, sijui uko Tanzania ipi?
Raisi anatutaka wananchi tufanye kazi kwa bidii na tulipe kodi
Raisi anachukia Ufisadi, Rushwa, Wizi, Matumizi mabaya ya fedha za umma,
Uzembe, Upotoshaji, Uchochezi na nk.