GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,736
- 109,328
Mkiona Nahodha wa Yanga SC Bakari Nondo Mwamnyeto Siku hiyo akiomba Waanze Wao Kuanzisha Mpira na waanzie Goli la Kusini na Mchezaji wao Aziz K au Fiston Mayele au Kenmeth Musonda Refa akipuliza tu Filimbi Mechi kuanza wakiupiga mpira upande wa Kulia wa Uwanja kutokea Goli la Kusini watakaloanzia basi wana Simba SC Wenzangu tutafute kwa Kujificha kwani likifanyika hili Yanga SC itashinda Goli 2 kwa 0 au 3 kwa 0 na Kuchukua/ Kubeba Ubingwa.
Tuliocheza Mpira wa Viwango Vikubwa kuanzia UMISETA, UMISHUMTA, Ligi za Daraja la Tatu na Mechi za Ndondo mtakubaliana nami GENTAMYCINE kuwa aina hii ya Uchawi huwa ni Mkubwa mno, wa Kafara Kubwa ( la hata Kuutoa Uhai wa Mtu) na Timu yoyote ile ikiutumia huwa ina 99.99999% za Kushinda.
Na sikumbuki ni lini tokea nianze Kuucheza Mpira, Kuufuatilia na Kuuchambua kwa hapa Tanzania na Afrika umewahi kutumiwa na Klabu/ Vilabu na hiyo Timu isishinde.
Tuliocheza Mpira wa Viwango Vikubwa kuanzia UMISETA, UMISHUMTA, Ligi za Daraja la Tatu na Mechi za Ndondo mtakubaliana nami GENTAMYCINE kuwa aina hii ya Uchawi huwa ni Mkubwa mno, wa Kafara Kubwa ( la hata Kuutoa Uhai wa Mtu) na Timu yoyote ile ikiutumia huwa ina 99.99999% za Kushinda.
Na sikumbuki ni lini tokea nianze Kuucheza Mpira, Kuufuatilia na Kuuchambua kwa hapa Tanzania na Afrika umewahi kutumiwa na Klabu/ Vilabu na hiyo Timu isishinde.