wazunguwawili
JF-Expert Member
- May 29, 2019
- 3,984
- 4,131
Salam..
Wale tuliochaguliwa kwenda kwa usaili wa nafasi za TRA dodoma tupeane updates.
Kama unapossible tushtuane.
Tukifika Dom pia tuambiane bata zinakuwa wapi.
Dom inaenda kujazwa kwa muda kidogo kuanzia leo watoto wakali watakuwepo.
Hadi sasa sijabahatika kupata nafasi ya sehemu ya kulala.
Wale tuliochaguliwa kwenda kwa usaili wa nafasi za TRA dodoma tupeane updates.
Kama unapossible tushtuane.
Tukifika Dom pia tuambiane bata zinakuwa wapi.
Dom inaenda kujazwa kwa muda kidogo kuanzia leo watoto wakali watakuwepo.
Hadi sasa sijabahatika kupata nafasi ya sehemu ya kulala.