Tunaodate na wanaume ambao hawajatusua bado

Tunaodate na wanaume ambao hawajatusua bado

Ingia katika maombi serious.
Hlaaf msiangalie kuajiriwa tu, naamin nyote mtakua hata kuna hela mna save anzen nayo biashara ndogondogo mkiwa na malengo.
 
Juzijuzi kamelalamika kuwa hakatongozwi leo kameshatongozwa bado hakaridhiki. Wewe mwanamke hadhi yako ni kuwa mchepuko wa watu wenye ndoa zao. Hufai kuwa mke wa mtu!
 
mapenzi bila pesa ni matamu sana... ni kipindi cha kupimana hekima, adabu na utayari wa kuwa mke bora hata mbeleni... ukiweza kuvumilia utaheshimika sana na mwenzio...
 
Nikikumbuka enzi ambazo nmemaliza shule lkn mama watt wangu yupo tu namm huwa nammiss sn. Watu tumetoka mbali sn enzi za kutundika mkate juu usiliwe na panya lkn naye yumo tu anapambana kuyafukuza magubegube nliyokuwa nayataka.
 
hao unaotembea nao ndio saizi yako binti..wewe kiuno kidogo unataka pensi ya Pepe Kalle??

Eti wanakushawishi..nani akushawishi wewe wakati hufanani na thamani dollar??

Hapo huna kazi wala kujishughulisha na chochote umekaa kama katoinyo ndani unasubiri mwanaume afanikiwe..rubbish kabisa!!

Wanawake kama wewe ni mzigo sana..na mwanaume atakaekuoa wewe hana akili kabisa..!!na ninakuhakikishia jamaa uyo akitusua hawezi oa mwanamke mzigo kama wewe..empty set kabisa
Mkuu wewe comment zako nyingi ni za kichovu, uvivu wa kufikiri na chuki ndani yake. Yan muda wote uko negative. Hebu msome mtoa mada vizuri then pitia maandishi yako.

Bullshit!!
 
si muda mrefu uta msnitch,keep my word,sasa kama unamvumilia kwa moyo mmoja una haja gani ya kutangaza fadhira zako kwake publicly
 
Nilidate na mwanaume asiye na pesa wala kazi 3 years alivyopata ikawa mwiba kwangu miezi6 tu mahusiano yakavunjika sitarudia tena hilo kosa kamwe.
inawezekana ulikuwa unamnyanyapaa kipindi akiwa jobless, so alikuja kukulipizia
 
inawezekana ulikuwa unamnyanyapaa kipindi akiwa jobless, so alikuja kukulipizia
Ningelikua namnyanyapaa angelikaa na mimi kwa miaka 3??? Alipata pesa kila mwanamke akawa anamtaka anabadilisha tu
 
Kuna watu waliimba 'supu ukiitia nazi umeharibuu!!' Sijui ni msondo walee sijui ni mlimani park??
Kama umewaza kushawishiwa basi ipo siku utashawishika tu!.

Anyway mi yangu ni hayo tu
 
We endelea tu kudate na wasio na pesa ila siku akizipata ndo utaona rangi zake 12 unaweza funga 7 kavu ili hizo hela alizopata zipoteee...
 
Wengi wenu huwa mnaangalia pesa zaidi ya mapenzi,ndio maana wengi huishia kutendwa..
 
Baba ni dereva wa gari (Familia)
Mama ni msoma ramani.
Baba anajua destination na speed
Mama anajua vikwazo na anamuongoza mume.

Kwa kifupi wanaofanikiwa walipata wake wanaowapenda na kuwajali.. Mke anajua what are your dreams..na anaweka every fibre of her being kukusaidia kufika. Mke anajua mafanikio ya mume ndio mafanikio yangu.
Mke anajua kujitengenezea kazi zitakazo-complement ndoto za familia. Hakuna Mimi/Yeye kuna sisi tu katika maono yao.

Kaka mmekutana kwa kupendana haswa sioni kwann uwe na wazo hata kidogo la kuwa na mashaka na maisha yenu ya baadae..

Maana upendo sio kupata.. Ukimpenda MTU na ukagundua we we ni chanzo cha maumivu /anguko lake..unamuacha aende. Ikiwa mtaachana huko mbeleni basi imetokea ila haimaanishi upendo haukuwepo.

Nb. Akina mama walipaswa kuwa managers wa waume wao. No wonder Leo familia haziko functional.. Zimevunjika kimfumo. Kila mtu anafanya yake halafu tunategemea unity.. Mafanikio yenu yapo mikononi mwenu. Komaa.
 
Back
Top Bottom