TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 4,975
- 15,316
Wakuu hali ni mbaya!
Baada ya kuweka heshima vijijini huko Moshi kipindi cha Krismasi na mwaka mpya, ambapo ilikuwa ni mwendo wa kuchinja mbuzi, bia kwa wingi, na kufuru za kila aina, sasa cha moto nakiona.
Tangu Januari hii imeanza mambo hayaendi kabisa. Yaani naishi kama digidigi hapa mjini. Ndani hakuna kitu, hela imekata, yaani daaah.
Wakuu nyie vipi mnavushaje huu mwezi?
Baada ya kuweka heshima vijijini huko Moshi kipindi cha Krismasi na mwaka mpya, ambapo ilikuwa ni mwendo wa kuchinja mbuzi, bia kwa wingi, na kufuru za kila aina, sasa cha moto nakiona.
Tangu Januari hii imeanza mambo hayaendi kabisa. Yaani naishi kama digidigi hapa mjini. Ndani hakuna kitu, hela imekata, yaani daaah.
Wakuu nyie vipi mnavushaje huu mwezi?