Tunakumbushana tu

Na mgeni wangu yupo safarini, baada ya kusoma ujumbe wako nikamuuliza umepanda gari gani kasema New force hapa najiskia kufa kufa!!

Ngoja nimuombee tu maana nkimuunga bando linawahi insta na tik tok hajui hata kuangaliia taarifa zngn angalia saiv limepanda New force๐Ÿค”
 
๐Ÿ˜€ ๐Ÿ˜€ ๐Ÿ˜€hatari sanaa
 
๐Ÿ˜€ ๐Ÿ˜€ ๐Ÿ˜€hatari sanaa
Kaka hapa sina raha tena ngoja namuuliza uliskia nn kuhus new force anasema hamna ๐Ÿค” sema atafika salama Mungu amsaidie

Kwa Imani naenda shekilango now
 
๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคญ
 
Mlevi na mwenye hasira watilie maanani saana, maneno yao huwa na asilimia kubwa ya ukweli.
 
๐Ÿ˜Š๐Ÿช“
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ