FayaaaaaHizo ni akili chafu ngoja tuzikemee
๐ฎ๐ฎ๐ฎ
Faya faya faya๐ฅ
Sasa inabidi nisogee pm tuzungumze Kwa uzuri๐ kabla wasaga kunguni hawajaja apaFayaaaaa
Khu khu khu๐Kho kho kho..
๐คญ Aisee ๐watu wapo vizuriii ๐ ๐
uwezo wakooo tyuuiView attachment 2666530
๐ ๐ ๐hatari sanaaNa mgeni wangu yupo safarini, baada ya kusoma ujumbe wako nikamuuliza umepanda gari gani kasema New force hapa najiskia kufa kufa!!
Ngoja nimuombee tu maana nkimuunga bando linawahi insta na tik tok hajui hata kuangaliia taarifa zngn angalia saiv limepanda New force๐ค
๐๐๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ Tulia dawa ikukolee ๐คญ
Kaka hapa sina raha tena ngoja namuuliza uliskia nn kuhus new force anasema hamna ๐ค sema atafika salama Mungu amsaidie๐ ๐ ๐hatari sanaa
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คญNa mgeni wangu yupo safarini, baada ya kusoma ujumbe wako nikamuuliza umepanda gari gani kasema New force hapa najiskia kufa kufa!!
Ngoja nimuombee tu maana nkimuunga bando linawahi insta na tik tok hajui hata kuangaliia taarifa zngn angalia saiv limepanda New force๐ค
Dada hadi mapigo ya moyo yamebadilika kbs๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คญ
๐๐ชUsisahau maneno makali aliyokutamkia mtu akiwa na hasira kumbuka yana ukweli ndani yake....haijalishi ataomba msamaha au hatoomba msamaha wewe kuwa makini nae......mtu mwenye hasira anaporopoka ni sawa na mlevi wanajua wanachokitamka.
NB:Tumkumbuke Muumba wetu siku za ujana wetu.Madereva gari za New force kuweni makini barabarani bado tunataka kuishi.๐๐๐