Tunakumbushana tu

Tuwe wapenz mara mbili? Sema naomba turudiane.....labda umesahau nikukumbushe..am your exπŸ€’
😊😊😊😊 kwani tuliachanaa.. mie mbona sina taarifa ... haya maisha kumbe unaweza achika bila info yoyote
 
Man Down..!! I repeat... Man Down..!
Medic .....!! Medic....!!!
 
Basi Kuna introvert mmoja tunakaa nae jirani jamaa Kwa kifupi ni zuzu mnyonge sana na always anajikuta Yuko serious kinyama
Kuna pisi alikua anaielewa kinoma kila siku anaomba viberiti vya kuchomoa udi wa mbuπŸ˜‚πŸ˜‚ kumbe anakosa sounds za kuomba adi namba baada ya kuona akiteseka ikabidi nimoe contact ya yule manzi ndo akamaliza mchezo mpaka Leo ninavoongea manzi imetoka kumfulia hapa huku yeye akiwa kazini.
NB MANZI INAFANYIA MAABARA HAPA HCπŸ˜‚πŸ˜‚

NAKALA IKUFIKIE Mzee wa kupambania
Mshamba mshamba_hachekwi
To yeye
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…