Ambiele Kiviele
JF-Expert Member
- Dec 29, 2014
- 15,271
- 29,934
kulwa na Doto
copy from ivory coast
paste Tz
copy from ivory coast
paste Tz
Nimekuelewa kaka, nimeshaona hilo wengine wameanza hata kunitukana as if nimemtukana mleta mada.Braza acha kubishana na wasomi ****** , wasio penda kufanya research , kazi yao kupokea pasina kufanya upembuzi yakinifu, hakika hii ni hatari kwa taifa letu.
We jamaa umeona Jamaa alichokiandika, ulitaka asapoti tu yeye ameotoa maoni kutokana Na Mada husika ndugu, yuko sahihi.Ungekuwa na busara nawe ungekuja na uzi wako unaomhusu Ouattara na kuainisha vitu ambavyo wa Ivory Coast walimpinga? Na ungesema ni kwanini wa Ivory Coast walimchoka na kumtaka Gbagbo ang'atuke na kwa mtazamo wako unadhani walikuwa sawa kufanya hivyo au wangeendelea kuvumilia?
Kwa mtazamo wako wewe ndo unafikiri hivyo ila umepotokaLengo si kuleta uzi kuanisha bali ni kuweka sawa nini Malisa kaandika. Ndiyo maana unachangia maana kuna maana umeona na kila unapocomment unapata elimu zaidi.
Keep going Braza Thinkers tupo, Tunakuelewaa, Usichoke kuwapa Elimu Ipo siku Wataelemika.Nimekuelewa kaka, nimeshaona hilo wengine wameanza hata kunitukana as if nimemtukana mleta mada.
Kwamba ukiikopi hii kutoka kwa Gbagbo kuna mahala ukiipest inafiti 100%
naona mtandao wako unasoma full Kama vile upon chini ya mnaraYupo sahihi kwa mujibu wa ubongo wako..na wewe unaamini Gbagbo alikuwa sahihi kuliko Ouattara?We jamaa umeona Jamaa alichokiandika, ulitaka asapoti tu yeye ameotoa maoni kutokana Na Mada husika ndugu, yuko sahihi.
na Nahisi wee ndo mwenye tatizo kwakuwa hautaki kufikiri kilichoandikwa wabaki kukubali tu,bila kuatafakari man.
Tehee nawe unajiita thinker maajabu ya bata kuvaa sendoKeep going Braza Thinkers tupo, Tunakuelewaa, Usichoke kuwapa Elimu Ipo siku Wataelemika.
Nawe Unaamini alichokiandika Marisa kina Usahihi?come on Man soma tafakari ndo uchukue Hatua.Yupo sahihi kwa mujibu wa ubongo wako..na wewe unaamini Gbagbo alikuwa sahihi kuliko Ouattara?
Mi nimesafiri nitachangia tena nikirudiYupo sahihi kwa mujibu wa ubongo wako..na wewe unaamini Gbagbo alikuwa sahihi kuliko Ouattara?
Kwenda zako wewe eti chukiHii chuki inayopandwa na wapinzani juu ya wananchi waichukie serikali yao na viongozi sio mzuri na inapaswa kukemewa.
Nimechukua hatua ndomana alichokileta mtoa mada hakina mashiko..mwenzie Malisa katoa karibu 80%ya ukweli kuhusu utawala wa Gbagbo akidokeza na mambo ya uvunjaji wa sheria ambayo viongozi wa Afrika wengi wanatoka madarakani kwa aibu mfano Gbagbo,GadafiNawe Unaamini alichokiandika Marisa kina Usahihi?come on Man soma tafakari ndo uchukue Hatua.
hivi, Unajua Gagbo ana Taaluma Ya kitu Gani?Tehee nawe unajiita thinker maajabu ya bata kuvaa sendo
ok, Umehakiki kwa kukusanya Data za Kutosha Paisna shaka ndani yake ukasema jamaa ametoa 80% ya ukweli.Nimechukua hatua ndomana alichokileta mtoa mada hakina mashiko..mwenzie Malisa katoa karibu 80%ya ukweli kuhusu utawala wa Gbagbo akidokeza na mambo ya uvunjaji wa sheria ambayo viongozi wa Afrika wengi wanatoka madarakani kwa aibu mfano Gbagbo,Gadafi
Mau Mau said:Duuuh dr Ndalichako ****** bado wengi huku mjini
Mimi siyo jamaa! Mimi nafikiri ndomana nimempinga na usitake na mimi nikubali ujinga alioandika kama wewe ulivyokubali siku nyingine usipende kushikiwa akiliWe jamaa umeona Jamaa alichokiandika, ulitaka asapoti tu yeye ameotoa maoni kutokana Na Mada husika ndugu, yuko sahihi.
na Nahisi wee ndo mwenye tatizo kwakuwa hautaki kufikiri kilichoandikwa wabaki kukubali tu,bila kuatafakari man.
Ndiyo nimehakiki na ndo yaliyomkuta Gbagbo na wenzie halafu ndo ujue kuna kitu kinaitwa "You are next..ok, Umehakiki kwa kukusanya Data za Kutosha Paisna shaka ndani yake ukasema jamaa ametoa 80% ya ukweli.