Tunajifunza nini kutoka Ivory Coast?

Tunajifunza nini kutoka Ivory Coast?

Mimi siyo jamaa! Mimi nafikiri ndomana nimempinga na usitake na mimi nikubali ujinga alioandika kama wewe ulivyokubali siku nyingine usipende kushikiwa akili
kuna vitu kamwe hauwezi fikiria pekee , bila kuwa na data za kutosha yeye ametoa kile anachokifahamu kwa ushaidi wa maandishi ukapinga, kuhusu suala la laurent je umerifuatilia na kufanya upembuzi yakinifu, weka ukada pembeni ,fanya research then come to conclusion.
 
kuna vitu kamwe hauwezi fikiria pekee , bila kuwa na data za kutosha yeye ametoa kile anachokifahamu kwa ushaidi wa maandishi ukapinga, kuhusu suala la laurent je umerifuatilia na kufanya upembuzi yakinifu, weka ukada pembeni ,fanya research then come to conclusion.
Wewe umefanya research? na umekuja na conclusion ipi?
 
Uki paste hapa kwetu ina fit 101%.....what a koisidensi!!!!
 
Malissa naye bwana. Ana uwezo wa kuwa mchambuzi mahiri kama angejiweka huru na kuachana na itikadi za kisiasa. Ameshindwa kutaja ukweli ulio wazi kwamba Gagbo alikuwa anaingilia maslahi ya wakubwa kuhusu almasi zile chafu nchi jirani na alikuwa anatishia upatikanaji wa cocoa dunia nzima. Wafaransa walipigana kufa na kupona ili aondoke. Hiki ndicho kilimpata Gaddafi pia. Bila madege ya Obama na Hollande dikteta yule asingeondoka.

Huwezi kuziainisha siasa hizi sawasawa bila kuziweka katika muktadha sahihi katika level ya kimataifa ali mradi tu eti unataka kuvutia upande wako kiitikadi .

Cha ajabu zaidi huyo Quattara naye ni fisadi wa kutupwa na hakuna faida yo yote wala mabadiliko ya maana yaliyotokea mpaka wengine tayari wanahoji if it was worth it kujitolea maisha yao.

Ngoma inapigwa Paris, Lisbon, Washington DC na London sie Waafrika tunakazana kukata mauno hata kuuana. Kisa? Ndiyo maana wa Libya mi siwahurumii. Acha dhambi ya kukubali kutumiwa iwatafune. Mungu Aibariki Tanzania!
 
Back
Top Bottom