Tua Ngoma
JF-Expert Member
- Apr 14, 2015
- 3,278
- 8,559
Yaani kama hii stori hunaongeza chumvi,yaani ni kila kitu kama nchi Fulani hivi huko mashariki ya Africa,yaani alimkamata waziri Mkuu mstaafu aliyeamia upinzani, yaani hakujali uungewana wa waziri Mkuu,umesema alizuia upinzani kufanya siasa hadi uchaguzi?? Unasema alizuia maandamano ya wapinzani?? Tena umesema alizuia hata vyombo vya habari eti??? Kwa hiyo tunaweza kusema kuna nchi ya mashariki ya Africa huko YATAJIRUDIA HAYA ETI??