Halaaaaaa!!! Unajua asilimia kubwa ya wanaume huwa tunadanganyana sana kuhusu mwanamke bikra wengi tunadanganyana kuwa bikra ni waaminifu tunadanganyana kuwa bikra hawezi kukuacha tunadanganyana kuwa bikra hata aolewe wewe ndio kiongozi.
Sasa basi iko hivi CHAMA CHA WANAUME TULIOWAHI KUKUTANA NA MABIKRA NCHINI (CHAUBI) tumeamua kutoa thread hii ili kuelimisha watu iko hivi.
Mwanamke bikra atabaki kuwa mwanamke anaekuheshimu kwa kuwa wewe ndio uliefungua dimba ila hii haina maana kuwa hawezi kukuchwat kukucheat utapigwa sn tu na ata kukuacha anaweza na akiolewa anaweza kukupotezea tu nakwambia hivi sio kwamba nakadiria hapana it is real story nimewahi kukutana na mabikra watano na wote sipo nao.
Kuna mmoja nilishuhudia akipigwa mate mbele yangu ilikuwa kama saa 1 usiku hivi yeye hakujua kama mimi nipo eneo lile toka hapo mahusiano yetu yaliendelea lkn hayakuwa na afya kabisa mwisho tukachokana tukamwagana
Kuna mwingine nae baada ya kumtoa bikra alianza kunipelekesha nikirudi town utasikia baby pita hapo dukan unichukulie nazi nikikutana na tukiwa tunaongea mara akimbie kuna siku nikamwaga mpunga ikawa ndio ntolee hiyo
Kuna mwingine aliolewa toka hapo ndio basiiiii
Hivyo sisi km CHAUBI au CHAMA CHA WANAUME TULIOWAH KUKUTANA NA MABIKRA NCHINI tunawashaur wanaume ambao hamjawahi kukutana na mabikra nchini muache kutafuta wanawake hao kwani hawana tofauti yoyote na wanawake hawa wa kawaida mpunguze kudanga mtulie mabikra sio watu kabisa
Asanten
Sasa basi iko hivi CHAMA CHA WANAUME TULIOWAHI KUKUTANA NA MABIKRA NCHINI (CHAUBI) tumeamua kutoa thread hii ili kuelimisha watu iko hivi.
Mwanamke bikra atabaki kuwa mwanamke anaekuheshimu kwa kuwa wewe ndio uliefungua dimba ila hii haina maana kuwa hawezi kukuchwat kukucheat utapigwa sn tu na ata kukuacha anaweza na akiolewa anaweza kukupotezea tu nakwambia hivi sio kwamba nakadiria hapana it is real story nimewahi kukutana na mabikra watano na wote sipo nao.
Kuna mmoja nilishuhudia akipigwa mate mbele yangu ilikuwa kama saa 1 usiku hivi yeye hakujua kama mimi nipo eneo lile toka hapo mahusiano yetu yaliendelea lkn hayakuwa na afya kabisa mwisho tukachokana tukamwagana
Kuna mwingine nae baada ya kumtoa bikra alianza kunipelekesha nikirudi town utasikia baby pita hapo dukan unichukulie nazi nikikutana na tukiwa tunaongea mara akimbie kuna siku nikamwaga mpunga ikawa ndio ntolee hiyo
Kuna mwingine aliolewa toka hapo ndio basiiiii
Hivyo sisi km CHAUBI au CHAMA CHA WANAUME TULIOWAH KUKUTANA NA MABIKRA NCHINI tunawashaur wanaume ambao hamjawahi kukutana na mabikra nchini muache kutafuta wanawake hao kwani hawana tofauti yoyote na wanawake hawa wa kawaida mpunguze kudanga mtulie mabikra sio watu kabisa
Asanten