je parle
JF-Expert Member
- Nov 28, 2018
- 1,883
- 3,621
Duuhwhat i know wanawake wote walikuwa bikra before hivyo kuongelea mwanamke bikra kama ni race fulani ya watu ni ujinga wa juu, makahaba nao walikuwa mabikra.
Hiviiiii VYAMA vimekuwaaa vingiii mnoooo kamaa vyoteee vikitoaa gawio serikalinii hakikaa tutafikiaa uchumi wa Kati wa juuHivi vyama aisee,
Juzi nimekutana na Mshikaji wangu mmoja akaniambia yeye ni Katibu Mwenezi wa CHAMA CHA WANAOTUMA NA YA KUTOLEA TANZANIA (CHACHAYAKUTA).
Acha umama basi kwani nani kakwambi akuwa hajavunja bikra kisa anaishi na Ke ambaye alishabikiriwa?kufa? Damn! Kipi cha kunifanya nife mkuu? Kwanza naelekea middle 20's ,pili sijaoa bado, tatu nina stable income, nne nimevunja bikra nne mpaka sasa na naona kuna nyengine zinakaribia kuongeza idadi .
Sasa wewe endele kuishi na mke wa mtu hapo home ,yaani kuvunja avunje kidume mwenzako halafu makombo unakuja kumaliza wewe? Cha kukwambia tu ni kuwa kuna immotional connection kati ya mvunjwa kwa mvunja.
Cool down mkuu! , kwani kuna mtu alikulazimisha uoe mke wa mtu?Acha umama basi kwani nani kakwambi akuwa hajavunja bikra kisa anaishi na Ke ambaye alishabikiriwa?
Ila wabongo wanavituko sana.Kama sio stress za vyuma kukaza hii nchi ni vituko sana.Hivi vyama aisee,
Juzi nimekutana na Mshikaji wangu mmoja akaniambia yeye ni Katibu Mwenezi wa CHAMA CHA WANAOTUMA NA YA KUTOLEA TANZANIA (CHACHAYAKUTA).
Tanga,wadigo
kama una miaka 25 hujala bikra, sahau kabisa labda ukabake watoto washule ya msingi
Hivyo nashauri ujikite na shughuli za maendeleo utakuja kunishukuru baadae
bikra hazipo mjini mkuu zipo vijijini watoto wanajiheshimu MNOyeah bro coz ukisema unatafuta bikra inamaana ujihusishe na vibint vya miaka 11 sasa hapo si Jela inakuita ; tafuta wa miaka 15+ hamna bikra
So unaongea hivyo baada ya kuchakata bikra kadhaaa,acha na sisi tupige japo moja ndo tutafata ushauri wakoHalaaaaaa!!! Unajua asilimia kubwa ya wanaume huwa tunadanganyana sn kuhusu mwanamke bikra wengi tunadanganyana kuwa bikra ni waaminifu tunadanganyana kuwa bikra hawez kukuacha tunadanganyana kuwa bikra hata aolewe ww ndio kiongozi
Sasa basi iko hv CHAMA CHA WANAUME TULIOWAH KUKUTANA NA MABIKRA NCHIN (CHAUBI) tumeamua kutoa thread hii ili kuelimisha watu iko hv
Mwanamke bikra atabaki kuwa mwanamke anaekuheshimu kwa kuwa ww ndio uliefungua dimba ila hii haina maana kuwa hawez kukuchwat kukucheat utapigwa sn tu na ata kukuacha anaweza na akiolewa anaweza kukupotezea tu nakwambia hv sio kwamba nakadiria hapana it is real story nimewah kukutana na mabikra watano na wote sipo nao
Kuna mmoja nilishuhudia akipigwa mate mbele yngu ilikuwa km saa 1 ucku hv yy hakujua km mm npo eneo lile toka apo mahusiano yetu yaliendelea lkn hayakuwa na afya kabisa mwisho tukachokana tukamwagana
Kuna mwingine nae baada ya kumtoa bikra alianza kunipelekesha nikirud town utasikia baby pita apo dukan unichukulie naz nikikutana na tukiwa tunaongea mara akimbie kuna siku nikamwaga mpunga ikawa ndo ntolee io
Kuna mwingine aliolewa toka apo ndio basiiiii
Ivo sisi km CHAUBI au CHAMA CHA WANAUME TULIOWAH KUKUTANA NA MABIKRA NCHINI tunawashaur wanaume ambao hamjawah kukutana na mabikra nchini muache kutafuta wanawake hao kwan hawana tofaut yoypte na wanawake hawa wa kawaida mpunguze kudanga mtulie mabikra sio watu kabisa
Asanten
Kuna chama wanajiita ZKU(zagalisha k*ma uone),hawa jamaa hawachagui demu,yoyote atakaeleta shobo anapitiwa.Hivi vyama aisee,
Juzi nimekutana na Mshikaji wangu mmoja akaniambia yeye ni Katibu Mwenezi wa CHAMA CHA WANAOTUMA NA YA KUTOLEA TANZANIA (CHACHAYAKUTA).
Vijiji gani unaviongelea na watoto warika lipibikra hazipo mjini mkuu zipo vijijini watoto wanajiheshimu MNO
Vijiji gani unaviongelea na watoto warika lipi
Nami nilishawahi kuwa mwanachama was hicho chama Ila nilijitoaKuna chama wanajiita ZKU(zagalisha k*ma uone),hawa jamaa hawachagui demu,yoyote atakaeleta shobo anapitiwa.
UFUNGUO: *=u
Mimi kama mwanamke nakupongeza utaishi kwa raha sana. Unaelekea kutuelewa. Kuoa bikra ni kujipa moyo tuu tupo wanawake tumeolewa tukiwa un seald na tunaheshimu ndoa zetu na tulishasahau hata sura ya huyo ex mtoa bikra.Pole, naona ushaelekea kibra kufa mapema kabla ya siku zako mara tu ulipoanza kujifanya unawaelewa sana kuliko wao wenyewe wanavyojielewa kwa akili zao.
kufa? Damn! Kipi cha kunifanya nife mkuu? Kwanza naelekea middle 20's ,pili sijaoa bado, tatu nina stable income, nne nimevunja bikra nne mpaka sasa na naona kuna nyengine zinakaribia kuongeza idadi .
Sasa wewe endele kuishi na mke wa mtu hapo home ,yaani kuvunja avunje kidume mwenzako halafu makombo unakuja kumaliza wewe? Cha kukwambia tu ni kuwa kuna immotional connection kati ya mvunjwa kwa mvunja.