Kipenzi Changu Platinum Member Joined Aug 24, 2011 Posts 59,233 Reaction score 138,749 Jun 26, 2023 #1 Hoja ya Muungano ni endelevu. Huu ni wakati sasa wa kutuonyesha hati ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
Hoja ya Muungano ni endelevu. Huu ni wakati sasa wa kutuonyesha hati ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar.
kimbendengu JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 8,100 Reaction score 15,426 Jun 26, 2023 #2 Muungano huu ni WA kisiasa
Erythrocyte JF-Expert Member Joined Nov 6, 2012 Posts 141,540 Reaction score 284,041 Jun 26, 2023 #3 Kumekuchaaaa
mtwa mkulu JF-Expert Member Joined Sep 11, 2013 Posts 8,585 Reaction score 11,268 Jun 26, 2023 #4 Kuna mwaka tulikishafua humu kikwete akatoa hati licha ya kuwa ilikuwa na sahihi za ajabu vipi mnaitaka tena?
Kuna mwaka tulikishafua humu kikwete akatoa hati licha ya kuwa ilikuwa na sahihi za ajabu vipi mnaitaka tena?
Kilimbatzz JF-Expert Member Joined Feb 11, 2023 Posts 9,131 Reaction score 14,610 Jun 26, 2023 #5 Na miye naitaka
kimbendengu JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 8,100 Reaction score 15,426 Aug 6, 2023 #6 Mwenye kujua amtag ndugu Pasca mayala hii picha maana yake nini Attachments 20230806_150338.jpg 32.9 KB · Views: 1