Tunahitaji nini, maarifa ya mtu, cheti au jina?

Mr X ana maarifa lakini hana cheti, Mr Y ana cheti lakini hana maarifa na Mr Z ana maarifa na cheti lakini jina ni la mwanakijiji mmoja std seven anayechunga huko kijijini.Ili taifa liendelee na kusonga mbele tunamuhitaji nani na yupi haitajiki kati ya X,Y na Z?Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.Jioni njema!
Cheti ni kama waraka Fulani unaomtambulisha mtu kuwa ana ujuzi Fulani hivi mahsusi.Ila ifahamike kuwa kuna watu wana ujuzi lakini hawana vyeti.Watu wasio na vyeti Mara nyingi hawaajiriwa kwa mujibu wa taratibu za ajira rasmi hasa serikalini.
 
Mr X ana maarifa lakini hana cheti, Mr Y ana cheti lakini hana maarifa na Mr Z ana maarifa na cheti lakini jina ni la mwanakijiji mmoja std seven anayechunga huko kijijini.Ili taifa liendelee na kusonga mbele tunamuhitaji nani na yupi haitajiki kati ya X,Y na Z?Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.Jioni njema!
makonda hana cheti wala maarifa
 
Labda ungeanza kutuambia kiwango chako cha elimu kisha utuambie maana ya "academic qualification" katika soko la ajira.Hivi kwa nini wanapoguswa miungu wenu huwa mnatafuta kila fursa za kuhalalisha upuuzi wao?

Kila position ya ajira/utumishi ina academic qualification zake,hata huyo aliyefoji cheti cha Elimu anafahamu umuhimu wa Elimu,isipokuwa amekosa uwezo wa kiakili wa kumuwezesha kuifikia ngazi ya kielimu anayoitamani na ndiyo maana alikwapua cheti cha watu ili walau aonekane ana sifa.

Imeandikwa kuwa "utakula kwa jasho lako", kwa nini tunapohoji mtu anayetumia vyeti vya mtu mwingine kujipatia ridhiki/uongozi kwa njia haramu iwe nongwa?Sheria ichukue mkondo wake,kila mtu awe pale alipo kwa njia sahihi na si kwa mbeleko ya kufoji vyeti,kufunga watu viatu na kujipendekeza.

Acha kujitoa ufahamu,unawakumbuka maelfu ya vijana wa UDOM waliofukuzwa chuoni kwa kile tulichoambiwa hawakuwa na sifa stahiki?Kwa nini leo tuwaruhusu vihiyo kushika nyadhifa kwa vyeti vya kughushi.
Hahahaha! Eti kufunga kamba za viatu! Loh! Jf kuna mambo, Daudi watu wanakusema huku.
 
Mwambieni aonyeshe matokeo yake ya Form 4. Mwambieni aruhusu maswali na ajibu kwa hekima sio matusi. Na Mwambieni kama anavoweza kuita wenzie kwa mics, akiitwa yeye kwa summons atii.
 
Hata kama itakuwa vp kuhs elim ya R sjaona mwenye wlimu nzuri upande wa upinz.. Wa kuwapa kura za kuchukua insi
 
Mr X ana maarifa lakini hana cheti, Mr Y ana cheti lakini hana maarifa na Mr Z ana maarifa na cheti lakini jina ni la mwanakijiji mmoja std seven anayechunga huko kijijini.Ili taifa liendelee na kusonga mbele tunamuhitaji nani na yupi haitajiki kati ya X,Y na Z?Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.Jioni njema!
We hebu acha porojo za kijinga wewe! Labda uumbe dunia yako utengeneze huko serikali zako ndo unaeza anzisha mawazo ya utopia kama hayo.
 
hii inch kwel kuna watu na viatu? hv kwel mtu na akili zako unaweza kuuliza swali la kipuuzi namna hii kama kichwa cha habar kinavyo sema? eti TUNAHITAJI NN MWENYE MAARIFA AU KITU GAN! Sasa kwa taarifa yako ww mtoa huu uzi, mtu yeyote yule aliyefoji chet au anayetumia chet cha mtu, kimsingi anakosa kubwa sana kisheria sababu anakuwa amedhurumu haki ya msingi ya yule mtu mwenye sifa ya kukaa kwenye ile nafas, kwa iyo lazima ufaham ilo, huenda iyo nafas aliyochukua mtu uyo ilikuwa ni ya mjomba ako, au ndugu yako yeyote yule au mtu yeyote mwenye sifa
 
Mr X ana maarifa lakini hana cheti, Mr Y ana cheti lakini hana maarifa na Mr Z ana maarifa na cheti lakini jina ni la mwanakijiji mmoja std seven anayechunga huko kijijini.Ili taifa liendelee na kusonga mbele tunamuhitaji nani na yupi haitajiki kati ya X,Y na Z?Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.Jioni njema!
Serikalini huwezi kuajiriwa bila kuwa na vyeti hata kama una uwezo mkubwa wa kutekeleza majukumu ya kazi.Vyeti hutolewa kwa alama zilizopangwa kufikiwa na mtihaniwa.Ndiyo maana utakuta kuna watu wenye ujuzi na maarifa mbalimbali mitaani hawana kazi mahsusi walizozisomea huko nyuma.Mfumo wa ajira rasmi hauwatambui. Elimu ya kupewa cheti mpaka ufikie alama zilizowekwa imekuwa ikidhalilisha wanafunzi sana pale wanapotangaziwa wamefeli mtihani.Hii ni dhana mbaya sana na inaweza kumfanya mwanafunzi zone hajiwezi tena.Ndiyo maana kuna watu wanapotea mitaani na ujuzi na maarifa wanajiona hawawezi kufanya chochote kwenye fani walizozisomea kisa walifeli na hawakupewa vyeti ili watambuliwe ni kweli walisoma.Mtu apimwe kwa matokeo mazuri ya kazi anayoifanya na wala si PhD,stashahada na vyeti.Maana nchi hii ina wenye hivyo wengi tu na mambo mabaya wanayoyafanya tunaona !.
 
Hivi Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ana elimu gani?

Dada lizaboni;
Umechelewa wapi mpaka ukaruhusu watu wengi hivyi wakawagusa miungu yako?? Nadhani buku7 leo hukuziona. Huyo Mbowe ndiye kafoji hivi vyeti?? Mtumbue tu usiogope. Au naye kasema ana Phd ya kuuza unga? Mtumbue tu usiogope. Sie twaogopa kuulizwa kuwa; Ukoje naye?? Ogopa kuingia lupango
 
Tunapofika mahali tunahalalisha uovu kwa sababu shida zetu. Haki ndo msingi wa uongozi. Haijalishi unafanya jema gani cha kwanza ni ufanye haki na uwe mkweli. Leo asingeinuka asiye na vyeti yupo mwenye vyeti angeinuka. Mataifa yetu yanaongozwa na watu wenye kasoro kama hawa wakati wanaofaa wakiwekwa pembeni. Ndo maana hatutoki na badala ya kukemea tumezoea na tunashaabikia.
 
Yani kwa akili za ghafla bila kuangalia nini kinahitajika kwa kipindi flani tutasema tunahitaji maarifa ya mtu ,pia humohumo tutaangalia populality na kipaji , lakini hii pia kuna kipindi itafikia kipindi maarifa yako kuyaweka hapo inashindikana inatakiwa ije Logic muhimu, au kutumia ethic katika swala fulani ndo utaona mtu ana panic na kuja juu sababu logic hakuna wala no ethic consideration

√maarifa hufanya mtu kutumia nguvu nyingi katika swala la kutumia logic ili kuendana na kasi ya wakati uliopo na kuwa sambamba na wale wenye vyetii katika utendaji

√cheti katika utendaji hapo ndo tunapima logic na maarifa hapa yanahitajika ndo mana wenye vyeti wanakosoa utendaji wa kukutupuka
 
Maarifa ya kununua/ kuiba cheti cha mtu ndo hayo yanayoleta maamuzi mkurupuko.
Kabisa mkuu! Hii inaonyesha huko ndani ya CCM walioforge vyeti ni wengi sana - refer Hamis Kigwangalah, Mwigulu Nchemba, Paul Makonda..........etc and they hold sensitive positions kwenye hii serikali. Haishangazi kwa maamuzi yao yasiyo na busara na watu dizaini hiyo wanajua sana kujipendekeza ili wapate kuteuliwa.
 
Weweeeee!
pale hakitafutwi cheti, vinavyotafutwa ni uadilifu na kiwango cha uwezo wa aina za majukumu
 
Back
Top Bottom