Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,473
- 13,629
Kuendelea kwa taifa ni wewe kwanza kuujua wajibu wako ni kuutimiza.Mr X ana maarifa lakini hana cheti, Mr Y ana cheti lakini hana maarifa na Mr Z ana maarifa na cheti lakini jina ni la mwanakijiji mmoja std seven anayechunga huko kijijini.Ili taifa liendelee na kusonga mbele tunamuhitaji nani na yupi haitajiki kati ya X,Y na Z?Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.Jioni njema!
Majungu hayajengi kwa sababu hayawezi kuwa mtaji wa mtu. Kila anayekuja duniani huwa na karama ambazo Mungu amemjalia. Hivyo la muhimu kwako ni kufanya yale yanayokuhusu, mengine ni ziada.