Wanaume bhn... Huu uzi kauleta mwnaume eti!!!Mr X ana maarifa lakini hana cheti, Mr Y ana cheti lakini hana maarifa na Mr Z ana maarifa na cheti lakini jina ni la mwanakijiji mmoja std seven anayechunga huko kijijini.Ili taifa liendelee na kusonga mbele tunamuhitaji nani na yupi haitajiki kati ya X,Y na Z?Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.Jioni njema!
Naona mkuu unamiss point, tatizo ni kutumia cheti ambacho sio cha kwake katika masomo na ajira. Katika fomu mbali mbali unazosaini, lazima uweke signature yako kuthibitisha ulichokiandika na attached documents ni za kweli.Hivi Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ana elimu gani?
Hana hata maarifa na sasa hivi tunasema kumbe!! He should not be above the law.Mnavyo waonea wenzenu kuwa wanavyeti feki mpo sahihi,Ila nyie mmeguswa mmajifanya hamuhitaji vyeti ila maarifaa.[HASHTAG]#pumbafu[/HASHTAG] sana ninyi.Kuna watu walikuwa wametumia vyeti vya watu kujiendeleza kielimu na kupata kazi na walikuwa wanafanya kazi haswa na wamejawa na maarifa plus utumishi wa miaka kadhaa serikalini, LAKINI baada ya sakata hili la vyeti uhakiki wakaacha kazi plus kupoteza stahiki zao.Leo hii Mmeguswa nyie kuhusu taaluma zenu WATU wanapotea kisa kuulizia taaluma zenu mmezipataje ???[HASHTAG]#where[/HASHTAG] did you defend your thesis MR.X?? MR.Y kuna habari kuwa umepata zero kuanzia la saba mpaka chuo!!!!
Sasa hivi eti mnyonge mnyongeni....nyoooooooooooooooooooooooooo!!!!!
Hii kitu hahitaji hasira wala papara. Sema reaction (failure to take action) ya JPM inaudhi.Tulia, andika pole pole acha papara.
Ana form six, cheti na jina ni vya kwakeHivi Mwenyekiti wa CHADEMA, FREEMAN MBOWE ana elimu gani?
Tunataka utaratibu sionkufosi mambo ...Mr X ana maarifa lakini hana cheti, Mr Y ana cheti lakini hana maarifa na Mr Z ana maarifa na cheti lakini jina ni la mwanakijiji mmoja std seven anayechunga huko kijijini.Ili taifa liendelee na kusonga mbele tunamuhitaji nani na yupi haitajiki kati ya X,Y na Z?Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.Jioni njema!
Mr X ana maarifa lakini hana cheti, Mr Y ana cheti lakini hana maarifa na Mr Z ana maarifa na cheti lakini jina ni la mwanakijiji mmoja std seven anayechunga huko kijijini.Ili taifa liendelee na kusonga mbele tunamuhitaji nani na yupi haitajiki kati ya X,Y na Z?Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni.Jioni njema!